AJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
Hivi ndivyo ilivyokuwa ajali hiyo iliyohusisha Lori na Coaster katika eneo la Mbalizi. Baadhi ya wananchi wakishuhudia ajali hiyo iliyotokea leo jioni katika eneo la Mlima Iwambi kuelekea Mbalizi. Baadhi ya askari polisi wakilinda mali zilizokuwemo katika lori, hata hivyo askari hao walilazimika kurusha risasi hewani kuwatawanya watu waliotaka kupora bidhaa hizo. Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTsOGq2CWtfiOfMv2WsqgG*Vwx4eB6HbpmgwYjpVdJTzfxo7GfJgBTmoMVbT-fueL1DzJ0ClKVY-d1*wF6iiVNb/2.jpg)
AJALI YA BASI LA SUPER FEO YAUA 3, YAJERUHI 28 MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Radi yaua sita, yajeruhi wawili
WATU sita wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi katika migahawa miwili inayohudumia wanafunzi wa Chuo Cha Maendeleo na Mifugo (LITA). Tukio tukio hilo lilitokea juzi...
11 years ago
Habarileo22 Jul
Baruti yaua wawili, yajeruhi 3 Mirerani
WACHIMBAJI wadogo wawili wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekufa na wengine watatu wamejeruhiwa baada ya kupigwa na baruti wakiwa mgodini.
10 years ago
GPLAJALI YAUA 10 NA KUJERUHI 7 MBALIZI MKOANI MBEYA LEO
10 years ago
Habarileo20 Feb
Ajali yaua 2 yajeruhi 45
WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar
WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Ajali ya basi yaua 10, yajeruhi 30
WATU 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.