AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
Gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T162 BXM iliyopata ajali jana maeneo ya Igurusi mkoani Mbeya. Gari hiyo ikiwa imeharibika vibaya baada ya ajali. GARI ndogo aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T162 BXM limepata ajali na kuua watu wawili jana eneo la Igurusi mkoani Mbeya.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Ajali ya basi la City Boys yaua 3, Singida, mwingine agongwa na Noah
Kamanda wa polisI Mkoani Singida (ACP) Thobias Sedoyeka (pichani)akizungumza na waandishi wa habari juu ya kutokea kwa ajali ya basi la City Boys na kusababisha vifo vya watu watatu Wilayani Iramba na mwingine kugongwa na Noah Singida vijijini. (PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, IRAMBA
WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida baada ya kupata ajali ya kugongwa na basi la City Boys na mwingine Noah wakati wakivuka barabara eneo la Ulemo barabara kuu ya Singida- Nzega.
Kamanda wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWzkO7CwtOQq*l*maytOF0IDEKy*nWYQFqfIwF1JaFvlL1nJX1iMms-SuzakuLWJrclD7jx41oFKnW0hC5JtcC2P/AJALI1.jpg)
AJALI YAUA WAWILI SONGEA
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-e2qpLWaTwM0/U0f_rJzOqDI/AAAAAAAAMWw/c76x3ZLZIEk/s1600/IMG-20140411-WA0004.jpg?width=640)
AJALI YA BASI YAUA WAWILI LUGOBA
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto
11 years ago
Habarileo27 May
Ajali yaua watu wawili Bagamoyo
WATU wawili wamekufa na wengine wanne wamejeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria, kugongana eneo la Bwawani Kata ya Ubena Tarafa ya Chalinze wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.
10 years ago
Habarileo21 Dec
Ajali yaua wafanyakazi wawili wa kampuni ya Kichina
WATU wawili wamekufa baada gari waliyokuwa wakisafiria aina ya kenta T 564 BYW kupinduka. Gari hilo lilikuwa limebeba wafanyakazi 27 wa kampuni ya wachina Project inayotengeneza barabara ya Kigwa hadi Nyahuwa mkoani Tabora.