Ajali yaua wafanyakazi wawili wa kampuni ya Kichina
WATU wawili wamekufa baada gari waliyokuwa wakisafiria aina ya kenta T 564 BYW kupinduka. Gari hilo lilikuwa limebeba wafanyakazi 27 wa kampuni ya wachina Project inayotengeneza barabara ya Kigwa hadi Nyahuwa mkoani Tabora.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWzkO7CwtOQq*l*maytOF0IDEKy*nWYQFqfIwF1JaFvlL1nJX1iMms-SuzakuLWJrclD7jx41oFKnW0hC5JtcC2P/AJALI1.jpg)
AJALI YAUA WAWILI SONGEA
Wananchi wakiwatoa baadhi ya majeruhi katika basi la Super Feo lililopata ajali Songea. Miili ya watu wawili waliopoteza maisha katika ajali hiyo. WATU wawili wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya ajali mbaya iliyotokea leo huko Songea mkoani Ruvuma…
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 13 wamejeruhiwa, baadhi yao vibaya baada ya daladala walilopanda kutoka Tegeta kwenda katikati ya jiji kuacha njia, kugonga mti na kisha kupinduka wakati likijaribu kulikwepa lori eneo la Mbuyuni jana asubuhi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
Gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T162 BXM iliyopata ajali jana maeneo ya Igurusi mkoani Mbeya. Gari hiyo ikiwa imeharibika vibaya baada ya ajali. GARI ndogo aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T162 BXM limepata ajali na kuua watu wawili jana eneo la Igurusi mkoani Mbeya.…
11 years ago
Habarileo27 May
Ajali yaua watu wawili Bagamoyo
WATU wawili wamekufa na wengine wanne wamejeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria, kugongana eneo la Bwawani Kata ya Ubena Tarafa ya Chalinze wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-e2qpLWaTwM0/U0f_rJzOqDI/AAAAAAAAMWw/c76x3ZLZIEk/s1600/IMG-20140411-WA0004.jpg?width=640)
AJALI YA BASI YAUA WAWILI LUGOBA
                                    Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.             Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza…
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15 Â kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Longoi Kata ya Mtae wilayani Lushoto jana majira ya saa 11.00 jioni.
11 years ago
GPLAJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
Hivi ndivyo ilivyokuwa ajali hiyo iliyohusisha Lori na Coaster katika eneo la Mbalizi.
Baadhi ya wananchi wakishuhudia ajali hiyo iliyotokea leo jioni katika eneo la Mlima Iwambi kuelekea Mbalizi.
Baadhi ya askari polisi wakilinda mali zilizokuwemo katika lori, hata hivyo askari hao walilazimika kurusha risasi hewani kuwatawanya watu waliotaka kupora bidhaa hizo.
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa katika...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo
Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania