Ajali yaua watu wawili Bagamoyo
WATU wawili wamekufa na wengine wanne wamejeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria, kugongana eneo la Bwawani Kata ya Ubena Tarafa ya Chalinze wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo
Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo
MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWzkO7CwtOQq*l*maytOF0IDEKy*nWYQFqfIwF1JaFvlL1nJX1iMms-SuzakuLWJrclD7jx41oFKnW0hC5JtcC2P/AJALI1.jpg)
AJALI YAUA WAWILI SONGEA
Wananchi wakiwatoa baadhi ya majeruhi katika basi la Super Feo lililopata ajali Songea. Miili ya watu wawili waliopoteza maisha katika ajali hiyo. WATU wawili wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya ajali mbaya iliyotokea leo huko Songea mkoani Ruvuma…
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Ajali ya basi yaua wanne Bagamoyo
Watu wanne wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Hajees kupinduka katika Kijiji cha Mnazi, Kata ya Mandela wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-e2qpLWaTwM0/U0f_rJzOqDI/AAAAAAAAMWw/c76x3ZLZIEk/s1600/IMG-20140411-WA0004.jpg?width=640)
AJALI YA BASI YAUA WAWILI LUGOBA
                                    Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.             Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza…
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15 Â kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Longoi Kata ya Mtae wilayani Lushoto jana majira ya saa 11.00 jioni.
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 13 wamejeruhiwa, baadhi yao vibaya baada ya daladala walilopanda kutoka Tegeta kwenda katikati ya jiji kuacha njia, kugonga mti na kisha kupinduka wakati likijaribu kulikwepa lori eneo la Mbuyuni jana asubuhi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
Gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T162 BXM iliyopata ajali jana maeneo ya Igurusi mkoani Mbeya. Gari hiyo ikiwa imeharibika vibaya baada ya ajali. GARI ndogo aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T162 BXM limepata ajali na kuua watu wawili jana eneo la Igurusi mkoani Mbeya.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania