NAPE AWAAMBIA WANA MASASI KULIPELEKA JIMBO UPINZANI NI KULIWEKA REHANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s72-c/31.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama(CCM) na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akihutubia wakazi wa Masasi kwenye mkutano wa kufunga kampeni uliofanyika Mkomaindo kata ya Mkomaindo ambapo aliwaambia wakazi wa Masasi watambue kuwa ilani inayotekelezwa ni Ilani ya CCM hivyo kuwapa jimbo wapinzani ni sawa na kuliweka rehani kwani hakuna sera ya mpinzani itakayotekelezwa kwa kipindi cha miaka 5, aliwataka wananchi hao...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s72-c/6.jpg)
RAY KIGOSI AWASTUA KISHAPU, AWAAMBIA UPINZANI BADO SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s640/6.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s72-c/6.jpg)
RAY KIGOSI AWAAMBIA WAKAZI WA KISHAPU SHINYANGA UPINZANI BADO SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s640/6.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Nitawakomboa wakazi wa Jimbo la Masasi
Maandishi yana nguvu, lakini ya watu makini yana nguvu zaidi na uwezo wa namna yake kubadili fikra za mtu. Hayo yanadhihirishwa na msanii na mwanasiasa, Ismail Makombe maarufu Kundambanda, aliyetangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Masasi.
Kwa mujibu wa Makombe, maandishi ya wanasafu wa Gazeti la Raia Mwema, yalibadili mtazamo wake kuhusu mambo mbalimbali nchini. Hayo na mengine aliyasema katika mahojiano na mwandishi wetu, MARY VICTOR, katika makala haya.
Raia Tanzania: Hivi...
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Upinzani Uingereza wana kiongozi mpya
9 years ago
Global Publishers21 Dec
CCM yanyakua ubunge jimbo la Masasi
Mbunge Mteule wa Jimbo la Masasi kwa tiketi ya CCM, Bw. Rashid Chuachua.
Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia huko Nyangao mkoani Lindi.
Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jimbo la Masasi, Fortunatus Kagoro amesema kuwa Bw. Rashid...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Katibu Chadema jimbo la Masasi ahamia CCM
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jimbo la Masasi, Faraji Mangochi amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akihusika kwa nguvu katika kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7_msmPhJLoc/U53oUuRQruI/AAAAAAAAO78/fcKqtezN4P0/s72-c/12.jpg)
NAPE AIZUNGUMZA NA WANA KIMARA BARUTI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7_msmPhJLoc/U53oUuRQruI/AAAAAAAAO78/fcKqtezN4P0/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HeAY03Y9I_0/U53oXezntYI/AAAAAAAAO8E/CojOipfYIms/s1600/10.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Wana CCM wamjia juu Nape
![Nape Nnauye](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Nape-Nnauye-300x201.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye
RODRICK MUSHI NA ELIYA MBONEA, MOSHI
MRATIBU wa marafiki wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa walioko Kanda ya Kaskazini, Noel Nnko, amesema kauli ya Katibu wa Halmshauri Kuu,Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, dhidi ya makundi yanayokwenda nyumbani kwa kiongozi huyo kumshawishi agombee urais ni ya udhalilishaji.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Nnko alisema kitendo cha Nape kusema wanaokwenda kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s72-c/23.jpg)
NAPE AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KWA WANA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s1600/23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m-yy2Rtexqw/UzCTrHIx9ZI/AAAAAAAAMjk/b_C84vB1nP4/s1600/24.jpg)