Nitawakomboa wakazi wa Jimbo la Masasi
Maandishi yana nguvu, lakini ya watu makini yana nguvu zaidi na uwezo wa namna yake kubadili fikra za mtu. Hayo yanadhihirishwa na msanii na mwanasiasa, Ismail Makombe maarufu Kundambanda, aliyetangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Masasi.
Kwa mujibu wa Makombe, maandishi ya wanasafu wa Gazeti la Raia Mwema, yalibadili mtazamo wake kuhusu mambo mbalimbali nchini. Hayo na mengine aliyasema katika mahojiano na mwandishi wetu, MARY VICTOR, katika makala haya.
Raia Tanzania: Hivi...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers21 Dec
CCM yanyakua ubunge jimbo la Masasi
Mbunge Mteule wa Jimbo la Masasi kwa tiketi ya CCM, Bw. Rashid Chuachua.
Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia huko Nyangao mkoani Lindi.
Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jimbo la Masasi, Fortunatus Kagoro amesema kuwa Bw. Rashid...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JsPbpdBP164/XmvvaVCaAdI/AAAAAAALjBc/Kkq2Z4sC96k3TOWlgv6u4YiOeIXXWgkSACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7cb1586ca171m6nz_800C450.jpg)
Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-JsPbpdBP164/XmvvaVCaAdI/AAAAAAALjBc/Kkq2Z4sC96k3TOWlgv6u4YiOeIXXWgkSACLcBGAsYHQ/s640/4bv7cb1586ca171m6nz_800C450.jpg)
Mike DeWine amesema, anazo ripoti kwamba asilimia moja ya wakazi wa jimbo la Ohio wameambukizwa virusi vya Corona, suala ambalo lina maana kwamba, zaidi ya Wamarekani laki moja wa Ohio wameathiriwa na virusi hivyo.
Mike DeWine ambaye alikuwa akizungumza na televisheni ya CNN ya Marekani amesema yumkini jimbo...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Katibu Chadema jimbo la Masasi ahamia CCM
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jimbo la Masasi, Faraji Mangochi amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akihusika kwa nguvu katika kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s72-c/31.jpg)
NAPE AWAAMBIA WANA MASASI KULIPELEKA JIMBO UPINZANI NI KULIWEKA REHANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s640/31.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-timM3-GEXLQ/Ux3gImg4lqI/AAAAAAAFSwY/rbauPQ6lvPk/s72-c/IMG_8347.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u1umZGxP5tM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)
11 years ago
GPLMWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ATIMIZA AHADI KWA TIMU ZA JIMBO LAKE
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...