Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-JsPbpdBP164/XmvvaVCaAdI/AAAAAAALjBc/Kkq2Z4sC96k3TOWlgv6u4YiOeIXXWgkSACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7cb1586ca171m6nz_800C450.jpg)
Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani amesema kuwa ripoti za Idara ya Afya zinaonyesha kuwa, karibu asilimia moja ya wakazi wa jimbo hilo wameambukizwa virusi vya COVID-19 (Corona).
Mike DeWine amesema, anazo ripoti kwamba asilimia moja ya wakazi wa jimbo la Ohio wameambukizwa virusi vya Corona, suala ambalo lina maana kwamba, zaidi ya Wamarekani laki moja wa Ohio wameathiriwa na virusi hivyo.
Mike DeWine ambaye alikuwa akizungumza na televisheni ya CNN ya Marekani amesema yumkini jimbo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya Rais Kenya wamepatwa na corona
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Jimbo la New York lahalalisha ndoa za mitandao.
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Jimbo la Missouri laipeleka China mahakamani
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Ni nini kinasababisha vifo visivyoelezeka katika jimbo la Kano Nigeria
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-timM3-GEXLQ/Ux3gImg4lqI/AAAAAAAFSwY/rbauPQ6lvPk/s72-c/IMG_8347.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e75f83c8ea98.jpg)
WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s640/5e75f83c8ea98.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Wakazi 'wanavyotishwa' kudhibiti corona Indonesia
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Wiki moja bila takwimu mpya za corona Tanzania, nini kimetokea?