Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona

Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani amesema kuwa ripoti za Idara ya Afya zinaonyesha kuwa, karibu asilimia moja ya wakazi wa jimbo hilo wameambukizwa virusi vya COVID-19 (Corona).

Mike DeWine amesema, anazo ripoti kwamba asilimia moja ya wakazi wa jimbo la Ohio wameambukizwa virusi vya Corona, suala ambalo lina maana kwamba, zaidi ya Wamarekani laki moja wa Ohio wameathiriwa na virusi hivyo.

Mike DeWine ambaye alikuwa akizungumza na televisheni ya CNN ya Marekani amesema yumkini jimbo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya Rais Kenya wamepatwa na corona

Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya rais nchini Kenya wamepatikana na virus vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jimbo la New York lahalalisha ndoa za mitandao.

Gavana wa jimbo la NewYork, amepitisha sheria inayoruhusu ndoa za mitandaoni kama hatua ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jimbo la Missouri laipeleka China mahakamani

Lawama dhidi ya China ambapo ndiyo chanzo cha virusi zinaongezeka kila uchao nchini Marekani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni nini kinasababisha vifo visivyoelezeka katika jimbo la Kano Nigeria

Rais wa Nigeria ameonesha wasiwasi wake juu ya idadi ya vifo inayoongezeka katika jimbo la Kaskazini la Kano, huku kukiwa na wasiwasi kwamba vifo hivyo huenda vinatokana na ugonjwa wa Covid-19.

 

5 years ago

Michuzi

WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.

Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.

Nenda...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakazi 'wanavyotishwa' kudhibiti corona Indonesia

Kijiji kimoja Indonesia chatumia mavazi ya kutisha kuhimiza kukaa mbali na mwengine kwa sababu ya Corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya

Kenya imerekodi idadi kubwa ya maambukizi ya corona kwa siku moja , kuwahi kushuhudiwa tangu kisa cha kwanza cha maambukizi hayo kilipotangazwa tarehe 12 Machi

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wiki moja bila takwimu mpya za corona Tanzania, nini kimetokea?

Jumatano wiki hii imetimu wiki moja toka Tanzania kutoa takwimu za mwisho za ugonjwa wa virusi vya corona nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani