Virusi vya corona: Jimbo la New York lahalalisha ndoa za mitandao.
Gavana wa jimbo la NewYork, amepitisha sheria inayoruhusu ndoa za mitandaoni kama hatua ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Paka wawili wa kufugwa waambukizwa corona New York
Wanasayansi wanafikiri kuwa hakuna uwezekano wa mnyama kumuambukiza binadamu virusi vya corona.
5 years ago
Michuzi
Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona

Mike DeWine amesema, anazo ripoti kwamba asilimia moja ya wakazi wa jimbo la Ohio wameambukizwa virusi vya Corona, suala ambalo lina maana kwamba, zaidi ya Wamarekani laki moja wa Ohio wameathiriwa na virusi hivyo.
Mike DeWine ambaye alikuwa akizungumza na televisheni ya CNN ya Marekani amesema yumkini jimbo...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Chui katika bustani ya wanyama ya Bronx, New York akutwa na virusi vya corona Marekani
Chui wanne, simba watatu kwenye bustani ya Bronx walipata kikohozi kikavu - wote wanatarajiwa kupona.
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Jimbo la Missouri laipeleka China mahakamani
Lawama dhidi ya China ambapo ndiyo chanzo cha virusi zinaongezeka kila uchao nchini Marekani.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi
Maharusi Zoe Davies na Tom Jackson ni baadhi ya wanandoa ambao harusi zao hazikufanyika kufuatia janga la corona
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania