RAY KIGOSI AWASTUA KISHAPU, AWAAMBIA UPINZANI BADO SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s72-c/6.jpg)
Na Mwandishi WetuMsanii Nguli wa filamu nchini, Ray Kigosi, amewaambia watanzania leokuwa makini na kusikiliza sera na kuachana na mihemko ya kisiasa itakayopelekea wao kufanya maamuzi watakayoyajutia baadae.Kigosi ameyasema hayo alipokuwa katika moja ya mikutano inayoendeshwa na kundi la wasanii lenye kauli mbiu ya Nimestuka, katika jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kundi hilo inayopita kijiji kwa kijiji katika kuhakikisha kwamba wanawaelimisha vijana wenzao...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s72-c/6.jpg)
RAY KIGOSI AWAAMBIA WAKAZI WA KISHAPU SHINYANGA UPINZANI BADO SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s640/6.jpg)
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wRjaqNY0Xsk/VUzQdlYeZXI/AAAAAAABN6I/3MMG6aAOONw/s72-c/RAY.jpg)
RAY KIGOSI ATOA SABABU INAYOMFANYA ASHINDWE KUOA HADI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-wRjaqNY0Xsk/VUzQdlYeZXI/AAAAAAABN6I/3MMG6aAOONw/s400/RAY.jpg)
Akizungumza na gazeti la Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Snura awaambia wako nyuma sana
MWANADADA anayetamba katika muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’ amesambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Uko Nyuma Sana’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Snura...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Leo ni birthday ya mwigizaji Vicenti Kigosi ray, Johari ampa salamu tata, isome hapa
Leo mwigizaji maarufu nchini Vicent kigosi - Ray anasherehehea siku yake ya kuzaliwa huku akipata salamu mbalimbali za pongezi toka kwa mastaa mbalimbali nchini.
Moja ya watu wa kwanza kwanza kumpa salamu hiyo ni swahiba na rafiki yake mkubwa, JB akifuatiwa na mpenzi wake wa zamani Johari ambaye salamu yake inadaiwa na wachunguzi wa mambo kuwa ni kwa namna flani inamponda mpenzi wa sasa wa Ray , Chuchu hans, kutokana na maneno yaliyotumika ya salamu hiyo ambayo Johari anadaiwa kuwahi...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s72-c/31.jpg)
NAPE AWAAMBIA WANA MASASI KULIPELEKA JIMBO UPINZANI NI KULIWEKA REHANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s640/31.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.
Kwa taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAhr9Zy4MQSYLrAzYSa8OysIWY7DrHRduc9H3ZRPESzNpjF8Bc-4dmWuL9poMhF3Lpev93UitFCTeJvkF85lV7Kx/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
RAY C: MAMA’ANGU ANAUMWA SANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518NVxl0zq1I*tkEWVLDLPdqXXPyNDIW0uY57kyRdO65oVnHKeZFfyNqkttMYpMZC0aIXzVpghCKfAd07mR4Q4v5/MAMAWEMA.jpg)
RAY CHUNGA SANA HIYO BASTOLA YAKO BROO!