Mchimbaji wa siku 41 mgodini afariki dunia
Na Paul Kayanda, Kahama
MMOJA wa wachimbaji wadogo machimbo ya Nyangarata, waliookolerwa baada ya kufukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kahama, Dk. Joseph Ngowi, alisema kuwa Kaiwao alifariki dunia jana saa 6.00 mchana baada ya kupata matatizo na kushindwa kupumua.
“Ni kweli amekufa na sababu ya kifo chake inaonekana wakati akitapika na huku akiwa amelala.
“Sehemu ya matapishi yake yaliingia kwenye njia ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Mchimbaji aliyenusurika mgodini Nyangalata afariki
9 years ago
Habarileo23 Nov
Aliyeokolewa mgodini baada ya siku 41 afariki
MMOJA wa majeruhi watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na kufukiwa na kifusi cha mchanga na kukaa siku 41 chini ya mgodi na kuokolewa, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Aliyeokolewa baada ya siku 41 mgodini afariki
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mchimbaji afariki kwa kulipuliwa na baruti
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/BADRA.jpg)
WAKUTWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA VIFUSI MGODINI KWA SIKU 41
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.