Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mahakamani
Washtakiwa 11 wa kesi ya mauaji ya  kukusudia ya Aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi wamegoma kushuka kizimbani  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakishinikiza kuelezwa jalada la kesi yao lipo wapi na imefikia katika hatua gani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Dec
Wanaotuhumiwa mauaji ya Mvungi waleta kizaazaa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi, jana waligoma kutoka katika chumba cha mahakama na kukaa kizimbani kwa muda hadi watakapoelezwa jalada la kesi yao lipo wapi.
10 years ago
Habarileo11 Feb
Washitakiwa kesi ya Mvungi waomba kusikilizwa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi wameiomba Mahakama iwape haki ya kuwasikiliza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMTEWWqgbUdUtGBtoTpwCxXjl9zb8L0R49o22Gh3nH7WxM3vBHnY84MoQ1l2fbpSRfyeW59-SsBIDYy5nh-eiB7k/JUMAMOSIBACK.jpg)
UNGO WA MCHAWI WAZUA KIZAAZAA!
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Madereva wa bodaboda wazua kizaazaa Geita
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Usafiri wa Reli ya Kati wazua kizaazaa Dar
10 years ago
Mwananchi05 Dec
IPTL yazua Kizaazaa Mahakamani
11 years ago
Habarileo20 Dec
Upelelezi mauaji ya Dk Mvungi bado
UPELELEZI wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Edmund Mvungi inayowakabili watu 10, haujakamilika.
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Hakimu kesi ya mauaji ya Dk. Mvungi ajitoa
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Waliarwande Lema, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi, inayowakabili washtakiwa 11.
Tukio hilo lilitokea juzi, baada ya washtakiwa hao 11 kumuomba Hakimu Lema ajitoe kuisikiliza kesi yao ili iweze kupangwa kwa hakimu mwingine ambaye wao wanaona atawatendea haki.
Kutokana na ombi hilo, Hakimu Lema alijitoa na kuiahirisha kesi hiyo...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Watuhumiwa mauaji ya Dk Mvungi walalamika upelelezi kusuasua