Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upelelezi mauaji ya Dk Mvungi bado

UPELELEZI wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Edmund Mvungi inayowakabili watu 10, haujakamilika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa mauaji ya Dk Mvungi walalamika upelelezi kusuasua

Washtakiwa 11 katika kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi  wameulalamikia upande wa Jamuhuri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kuchelewesha upelelezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Upelelezi kesi ya Dk Mvungi kitendawili

Upelelezi wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi bado ni kitendawili.

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi wa kesi ya Uamsho bado

KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upelelezi kesi ya ugaidi bado

UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi wizi wa madini ya tanzanite bado kufungwa

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit NsimekiKAMANDA wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki amesema upelelezi wa kesi ya wizi wa madini ya tanzanite kilo 15 ya Kampuni ya Tanzanite One iliyopo Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara haujafungwa hivyo yuko tayari kukutana na mtu yeyote raia mwema mwenye kujua mhusika mkuu wa wizi huo.

Kauli ya Kamanda Nsimeki imekuja baada ya wafanyakazi wa kampuni ya Tanzanite One kusema kuwa wako tayari kumtaja mhusika mkuu wa wizi huo ambaye hajakamatwa na alishirikiana na kigogo wa...

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi kesi ya wafuasi wa CUF bado kukamilika

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.UPEELELEZI wa kesi ya kutotii amri halali ya polisi na kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) haujakamilika.

 

11 years ago

Michuzi

UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA

Na Mwenekaya Said,Globu ya Jamii - Kisutu 
KESI  ya  mauaji ya kukusudia  inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi  kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Hakimu kesi ya mauaji ya Dk. Mvungi ajitoa

mvungiNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Waliarwande Lema, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi, inayowakabili washtakiwa 11.
Tukio hilo lilitokea juzi, baada ya washtakiwa hao 11 kumuomba Hakimu Lema ajitoe kuisikiliza kesi yao ili iweze kupangwa kwa hakimu mwingine ambaye wao wanaona atawatendea haki.
Kutokana na ombi hilo, Hakimu Lema alijitoa na kuiahirisha kesi hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaotuhumiwa mauaji ya Mvungi waleta kizaazaa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi, jana waligoma kutoka katika chumba cha mahakama na kukaa kizimbani kwa muda hadi watakapoelezwa jalada la kesi yao lipo wapi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani