Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upelelezi wa kesi ya Uamsho bado

KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Upelelezi kesi ya ugaidi bado

UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi kesi ya wafuasi wa CUF bado kukamilika

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.UPEELELEZI wa kesi ya kutotii amri halali ya polisi na kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) haujakamilika.

 

11 years ago

Michuzi

UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA

Na Mwenekaya Said,Globu ya Jamii - Kisutu 
KESI  ya  mauaji ya kukusudia  inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi  kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...

 

5 years ago

Michuzi

UPELELEZI KATIKA KESI YA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA ZAIDI YA KILO 270 INAYOMKABILI RAIA WA NIGERIA, WATANZANIA WAWILI BADO HAUJAKAMILIKA


Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

UPELELEZI katika kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zaidi ya kilo 270 inayomkabili Raia wa Nigeria, David Chukwu (38) na Watanzania wawili katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu bado haujakamilika.

Mbali na Chukwu ambaye ni Mkazi wa Masaki, washitakiwa wengine ni Isso Lupembe (49) Mkazi wa Mbezi na Allistair Mbele (38).

Wakili wa Serikali, Ester Martin alidai jana mbele ya Hakimu Mfawidhi Godfrey Isaya kuwa kesi hiyo imekuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba...

 

11 years ago

Habarileo

Upelelezi mauaji ya Dk Mvungi bado

UPELELEZI wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Edmund Mvungi inayowakabili watu 10, haujakamilika.

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi wizi wa madini ya tanzanite bado kufungwa

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit NsimekiKAMANDA wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki amesema upelelezi wa kesi ya wizi wa madini ya tanzanite kilo 15 ya Kampuni ya Tanzanite One iliyopo Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara haujafungwa hivyo yuko tayari kukutana na mtu yeyote raia mwema mwenye kujua mhusika mkuu wa wizi huo.

Kauli ya Kamanda Nsimeki imekuja baada ya wafanyakazi wa kampuni ya Tanzanite One kusema kuwa wako tayari kumtaja mhusika mkuu wa wizi huo ambaye hajakamatwa na alishirikiana na kigogo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika

UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...

 

11 years ago

Michuzi

UPELELEZI KESI YA MBASHA WAKAMILIKA

Na Mwene Said wa Globu ya Jamii MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, imeambiwa kwamba upelelezi wa kesi ya ubakaji inayomkabili Msanii Emmanuel Mbasha (32) - pichani - na mume wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, umekamilika.  Hatua hiyo imefikiwa leo mbele ya Hakimu Mkazi Mh. Wilberforce Luago aliyepangiwa kusikiliza kesi hiyo.  Wakili wa Serikali Nassoro Katuga alidai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa jana na kwamba upelelezi wake umekamilika. “Mheshimiwa kwa kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Upelelezi kesi ya Dk Mvungi kitendawili

Upelelezi wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi bado ni kitendawili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani