UPELELEZI KATIKA KESI YA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA ZAIDI YA KILO 270 INAYOMKABILI RAIA WA NIGERIA, WATANZANIA WAWILI BADO HAUJAKAMILIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xp9s-dMJ914/XrViSRT4MSI/AAAAAAALpfQ/mJWEizrYY3gbDZpxfk71dWKekw2nqmEMwCLcBGAsYHQ/s72-c/94084611_2818284451645258_6601521376068816212_n.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
UPELELEZI katika kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zaidi ya kilo 270 inayomkabili Raia wa Nigeria, David Chukwu (38) na Watanzania wawili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu bado haujakamilika.
Mbali na Chukwu ambaye ni Mkazi wa Masaki, washitakiwa wengine ni Isso Lupembe (49) Mkazi wa Mbezi na Allistair Mbele (38).
Wakili wa Serikali, Ester Martin alidai jana mbele ya Hakimu Mfawidhi Godfrey Isaya kuwa kesi hiyo imekuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CaBTeWbQKlM/XphABBMi-KI/AAAAAAALnJ4/kCg1BZ7Y-noBDdFkrQ45WglBBrgHraddgCLcBGAsYHQ/s72-c/29229496-9983-49eb-8c08-180542859934.jpg)
KIGOGO BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA AMBAYE NI RAIA WA NIGERIA ANASWA JIJINI DAR, WAMO PIA WATANZANIA WAWILI...
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaBTeWbQKlM/XphABBMi-KI/AAAAAAALnJ4/kCg1BZ7Y-noBDdFkrQ45WglBBrgHraddgCLcBGAsYHQ/s640/29229496-9983-49eb-8c08-180542859934.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QW2hjy0Wbk/XphAB0QuDNI/AAAAAAALnKA/ULe5CkKqn60nEwrb-rXcuLG4SiEecWe_QCLcBGAsYHQ/s640/85036a40-6c14-426e-bcbd-9713b9c07805.jpg)
Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya wakiwa chini ya ulinzi baada ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kuwanasa jijini Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-il6JBypXrMc/XphABWgQ4rI/AAAAAAALnJ8/AFkssFUMb7IcE8tfwQ-6yHcgvBi1rL_8gCLcBGAsYHQ/s640/ad35ca83-39ef-4e13-bb84-eb573b11fdb3.jpg)
Na Ripota Wetu,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana...
10 years ago
Habarileo14 Jan
‘Upelelezi kesi ya Shehe Farid haujakamilika’
UPELELEZI wa kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake bado haujakamilika.
11 years ago
Habarileo24 Jul
‘Upelelezi kesi ya ugaidi Dar haujakamilika’
UPANDE wa mashtaka umeomba kuongezewa muda wa kukamilisha upelelezi katika kesi ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi inayokabili watu 17.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A9uJIbBx6uY/VE-OUmDkYoI/AAAAAAAGtz4/uGipieSRuz8/s72-c/Chid%2BBeenz_full.jpg)
CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11
![](http://3.bp.blogspot.com/-A9uJIbBx6uY/VE-OUmDkYoI/AAAAAAAGtz4/uGipieSRuz8/s1600/Chid%2BBeenz_full.jpg)
Chid Benz amefikishwa mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0gO7sjtK70/Xk1H9HusgaI/AAAAAAALeYY/tMHmjKz2xU0hjZN4r-s_ncQXOtGTq0DGwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DXmDe47d_XM/XqLa9O-sjKI/AAAAAAALoDQ/oQZzqU6hEk0Z6c89lfER-lrWsC351SHHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0f9044bf-f641-4cb0-a698-3d401ff65aea.jpg)
Watuhumiwa watatu akiwemo raia wa Nigeria wa Dawa za kulevya wapadishwa kizimbani kisutu leo
Mbali na Chukwu washtakiwa wengine ni Isso Lupembe 49 mkazi wa Mbezi Luis na Allistair Mbele 38 anayeishi Mbezi Kibanda cha Mkaa.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na mawakili wa serikali waandamizi , Veronika Matikila, na...
11 years ago
Michuzi07 Feb
News alert: watu 12 raia wa iran na pakistani kizimbani kwa kukutwa na 'sembe' kilo 200.5 bahari kuu
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wairani kortini kwa dawa za kulevya kilo 41
11 years ago
Habarileo03 Jan
Mnigeria atuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya za milioni 54/-
RAIA wa Nigeria, Okwubili Agu (40), amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 71 za dawa za kulevya aina ya heroin, zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 54, alizokuwa amezimeza tumboni.