Wanaotuhumiwa mauaji ya Mvungi waleta kizaazaa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi, jana waligoma kutoka katika chumba cha mahakama na kukaa kizimbani kwa muda hadi watakapoelezwa jalada la kesi yao lipo wapi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mahakamani
11 years ago
Habarileo31 Jan
Wanaotuhumiwa kumuua Dk Mvungi wabanwa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi wamesomewa mashitaka yao upya na baadhi yao kudai hawana imani na Mkuu wa Gereza la Segerea.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxDMjShiHxXc5mEnqMkgsi2012sMnUelFlhKZUOfEP1uVppnfRUMtQBu06cZGlmyzLF2ezh7aGy04-kf-8qtl0r/2musoma2.jpg?width=650)
MWILI WA MAREHEMU WA AJALI YA MUSOMA WALETA KIZAAZAA
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Ujenzi wa maabara waleta kizaazaa kwa uongozi mpya Puma
Diwani kata ya Puma wilaya ya Ikungi (CCM) Ramadhani Kulungu, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kusomwa kwa taarifa ya mapato na matumizi ya michango ya ujenzi wa maabara.
Na Nathaniel Limu, Puma
MWENYEKITI mpya wa serikali ya kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kupitia CCM,Sifa Joramu Hema, alipata wakati mgumu na hivyo kushindwa kuongoza mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya yeye na wajumbe wake,kutambulishwa kwa wananchi...
11 years ago
Habarileo20 Dec
Upelelezi mauaji ya Dk Mvungi bado
UPELELEZI wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Edmund Mvungi inayowakabili watu 10, haujakamilika.
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Hakimu kesi ya mauaji ya Dk. Mvungi ajitoa
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Waliarwande Lema, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi, inayowakabili washtakiwa 11.
Tukio hilo lilitokea juzi, baada ya washtakiwa hao 11 kumuomba Hakimu Lema ajitoe kuisikiliza kesi yao ili iweze kupangwa kwa hakimu mwingine ambaye wao wanaona atawatendea haki.
Kutokana na ombi hilo, Hakimu Lema alijitoa na kuiahirisha kesi hiyo...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Watuhumiwa mauaji ya Dk Mvungi walalamika upelelezi kusuasua
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61mtUTz9nD1KEnSjyJcN5-XP71nTWmkMQWKBqdImnp28FrxBbHG1U*YlvRqtMCB9ylOJUvJcMylsToEEssBdg52/flora.jpg)
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
11 years ago
Habarileo21 Jan
Mawaziri wanaotuhumiwa watetewa
BAADHI ya wasomi wamepongeza uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete, kuendelea kufanya kazi na mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kwa upungufu wa kiutendaji serikalini. Mmoja wa wasomi hao, Dk Kitila Mkumbo, alimpongeza Rais kuendelea na mawaziri hao kwani Serikali haiendeshwi kwa kauli za wanasiasa.