Ujenzi wa maabara waleta kizaazaa kwa uongozi mpya Puma
Diwani kata ya Puma wilaya ya Ikungi (CCM) Ramadhani Kulungu, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kusomwa kwa taarifa ya mapato na matumizi ya michango ya ujenzi wa maabara.
Na Nathaniel Limu, Puma
MWENYEKITI mpya wa serikali ya kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kupitia CCM,Sifa Joramu Hema, alipata wakati mgumu na hivyo kushindwa kuongoza mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya yeye na wajumbe wake,kutambulishwa kwa wananchi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Ujenzi maabara za Sekondari ni ishara mbaya ya uongozi
SI mara ya kwanza kwako wewe msomaji kusikia kwamba Tanzania kuna ombwe la uongozi. Imesemwa sana na watu wa kada na nyakati tofauti kwa mambo yanavyokwenda katika taifa letu si...
10 years ago
Habarileo30 Dec
Wanaotuhumiwa mauaji ya Mvungi waleta kizaazaa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi, jana waligoma kutoka katika chumba cha mahakama na kukaa kizimbani kwa muda hadi watakapoelezwa jalada la kesi yao lipo wapi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxDMjShiHxXc5mEnqMkgsi2012sMnUelFlhKZUOfEP1uVppnfRUMtQBu06cZGlmyzLF2ezh7aGy04-kf-8qtl0r/2musoma2.jpg?width=650)
MWILI WA MAREHEMU WA AJALI YA MUSOMA WALETA KIZAAZAA
10 years ago
Habarileo13 Sep
RC ampongeza diwani wa Chadema kwa ujenzi wa maabara
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amemmwagia sifa tele diwani wa kata ya Mwangeza, katika halmashauri ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (CHADEMA) kwa kuwezesha kata yake kuibuka ya kwanza kukamilisha ujenzi wa maabara.
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Milioni 40 zachangwa kwa ujenzi wa maabara ya sekondari
Mwenyekiti wa klabu ya Gymkhana Dioniz Malinzi akipiga mpira wakati wa ufunguzi wa mchezo wa gofu kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maktaba na vifaa vya kompyuta vya Shule ya Sekondari ya Mtakuja.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza mchezo wa...
10 years ago
Habarileo15 Dec
Afukuzwa kazi kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa maabara
MTENDAJI wa Kata ya Kinungu katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Velilian Mapalala amefukuzwa kazi kwa tuhuma za kutokaa katika kituo chake cha kazi na kushindwa kusimamia ujenzi wa vyumba vya maabara katika kata hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s72-c/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
UJENZI WA MAABARA YA KISASA YA UPASUAJI UBONGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s320/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akizungumza jambo wakati alipotembelea Taasisi ya Mifupa MOI nakuangalia chumba cha teleradiolojia kinachotarajiwa kufanyiwa majaribio siku ya ijumaa tarehe 08/05/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-m19bOCX9w3o/XrF6XHSthtI/AAAAAAAAnbI/L1VB48baMGgf1ySd29OsjMOGZOr-0HSsgCLcBGAsYHQ/s320/085cf922-7005-44e1-a2e2-e4bf59122201.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IEHEw1CII9U/XrF6YaCEMZI/AAAAAAAAnbU/S793HWGynmch6Q77Pe2PsY7A2QbtxMHRgCLcBGAsYHQ/s320/e756932f-0b65-44a0-902d-4850a5b3fd01.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zQzgt71f9GA/XrGxQHroVpI/AAAAAAALpQQ/05JvGXXkybUO9OsExwKfd--earluJZe2gCLcBGAsYHQ/s72-c/9a7db3ed-b458-49c6-a595-1a4e94a8e0ad.jpg)
Ujenzi wa maabara ya kisasa ya upasuaji ubongo wakamilika kwa asimia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-zQzgt71f9GA/XrGxQHroVpI/AAAAAAALpQQ/05JvGXXkybUO9OsExwKfd--earluJZe2gCLcBGAsYHQ/s640/9a7db3ed-b458-49c6-a595-1a4e94a8e0ad.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/261cb04c-b903-45f2-8593-45d5346f2f7e.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface akitoa taarifa kuhusiana na hatua ya ujenzi wa mradi wa maabara ya kisasa ya upasuaji wa Ubongo (Angio suite) ambao umekamilika kwa asilimia 70%
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/711287e1-3bba-40ac-b7b7-2b86bac91e4b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1df20ec4-7b45-41e3-bfe2-4674e21e7b6b.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akitoa maelekezo katika chumba cha teleradiolojia...