Afukuzwa kazi kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa maabara
MTENDAJI wa Kata ya Kinungu katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Velilian Mapalala amefukuzwa kazi kwa tuhuma za kutokaa katika kituo chake cha kazi na kushindwa kusimamia ujenzi wa vyumba vya maabara katika kata hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Mwalimu apongezwa kwa kusimamia maabara
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Sengerema, Bw. Hassan Moshi, akiwa nje ya jengo la maabara la shule ya sekondari ya sekondari Iligamba iliyoko kata ya Bupandwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza.
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Sengerema, Bw. Hassan Moshi amempongeza mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya sekondari Iligamba iliyoko kata ya Bupandwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kwa kusimamia vyema swala la ujenzi wa maabara katika...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Mwalimu afukuzwa kazi kwa kumshabikia Lowassa
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
MWALIMU wa Shule ya Sekondari Charlotte katika Manispaa ya Morogoro, Heriman Manase anadaiwa kuachishwa kazi akituhumiwa kujihusisha na masuala ya siasa kwa kumshabikia aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na vyama vilipo kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Inadaiwa kwamba mwalimu huyo alikuwa akimpigia debe Lowassa, ndani na nje ya shule hiyo.
Mwalimu huyo pia...
9 years ago
StarTV11 Nov
Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa
Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.
Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...
9 years ago
StarTV24 Nov
Daktari wa Hospitali ya Bukombe afukuzwa kazi kwa kukataa kutoa huduma
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha amemfukuza kazi daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Bukombe Johanne Mkobwe kwa madai ya kukataa kutoa huduma kwa mtoto wa miezi sita aliyefikishwa Hospitalini hapo akiwa na hali mbaya kiafya.
Mtoto huyo Johson Manyama alifikishwa majira ya saa kumi asubuhi novemba 22 na wazazi wake na kumkuta daktari wa zamu amelala na alipoamshwa aliwafukuza na kuwaambia wasubiri hadi saa mbili yeye anapumzika.
Inadaiwa mtoto Johson alizidiwa mahira ya saa kumi...
10 years ago
Habarileo13 Sep
RC ampongeza diwani wa Chadema kwa ujenzi wa maabara
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amemmwagia sifa tele diwani wa kata ya Mwangeza, katika halmashauri ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (CHADEMA) kwa kuwezesha kata yake kuibuka ya kwanza kukamilisha ujenzi wa maabara.
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Milioni 40 zachangwa kwa ujenzi wa maabara ya sekondari
Mwenyekiti wa klabu ya Gymkhana Dioniz Malinzi akipiga mpira wakati wa ufunguzi wa mchezo wa gofu kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maktaba na vifaa vya kompyuta vya Shule ya Sekondari ya Mtakuja.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza mchezo wa...
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona: Waziri wa elimu afukuzwa kazi Madagascar kwa kuagiza pipi za dola milioni 2
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Ujenzi wa maabara waleta kizaazaa kwa uongozi mpya Puma
Diwani kata ya Puma wilaya ya Ikungi (CCM) Ramadhani Kulungu, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kusomwa kwa taarifa ya mapato na matumizi ya michango ya ujenzi wa maabara.
Na Nathaniel Limu, Puma
MWENYEKITI mpya wa serikali ya kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kupitia CCM,Sifa Joramu Hema, alipata wakati mgumu na hivyo kushindwa kuongoza mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya yeye na wajumbe wake,kutambulishwa kwa wananchi...