Mwalimu afukuzwa kazi kwa kumshabikia Lowassa
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
MWALIMU wa Shule ya Sekondari Charlotte katika Manispaa ya Morogoro, Heriman Manase anadaiwa kuachishwa kazi akituhumiwa kujihusisha na masuala ya siasa kwa kumshabikia aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na vyama vilipo kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Inadaiwa kwamba mwalimu huyo alikuwa akimpigia debe Lowassa, ndani na nje ya shule hiyo.
Mwalimu huyo pia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa
Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.
Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...
10 years ago
Habarileo15 Dec
Afukuzwa kazi kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa maabara
MTENDAJI wa Kata ya Kinungu katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Velilian Mapalala amefukuzwa kazi kwa tuhuma za kutokaa katika kituo chake cha kazi na kushindwa kusimamia ujenzi wa vyumba vya maabara katika kata hiyo.
9 years ago
StarTV24 Nov
Daktari wa Hospitali ya Bukombe afukuzwa kazi kwa kukataa kutoa huduma
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha amemfukuza kazi daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Bukombe Johanne Mkobwe kwa madai ya kukataa kutoa huduma kwa mtoto wa miezi sita aliyefikishwa Hospitalini hapo akiwa na hali mbaya kiafya.
Mtoto huyo Johson Manyama alifikishwa majira ya saa kumi asubuhi novemba 22 na wazazi wake na kumkuta daktari wa zamu amelala na alipoamshwa aliwafukuza na kuwaambia wasubiri hadi saa mbili yeye anapumzika.
Inadaiwa mtoto Johson alizidiwa mahira ya saa kumi...
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona: Waziri wa elimu afukuzwa kazi Madagascar kwa kuagiza pipi za dola milioni 2
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Mwanasheria wa Zanzibar afukuzwa kazi
Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu Ameir Kificho, (Kulia) na Mwanasheria Mkuu wa nchi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman (mwenye suti ya kijivu), wakitokea mlango wa nyuma wa jengo la bunge hivi karibuni, baada ya kutishiwa kupigwa na wajumbe wa bunge hilo la katiba kutoka nchini Zanzibar. Mhe. Masoud alipigia kura ya HAPANA rasimu inayopendekezwa kuwa katiba mpya ya nchi mbili Tanganyika.
Na Mwandishi wetu
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo28 Jan
Mkurugenzi AICC afukuzwa kazi
BODI ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa (AICC) Arusha imemtimua kazi Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa kituo hicho, Paul Ndosa kwa ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za shirika hilo la umma.
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Mkuu wa mafuta Nigeria afukuzwa kazi
9 years ago
Habarileo11 Nov
Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi
JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.
Alisema askari huyo amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28 mwaka huu kwa kosa la kulidhalilisha jeshi hilo...