Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa
Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.
Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rCwZPPl68YQ/UyAK1XQFWGI/AAAAAAAFTA4/SGEA_uZgjZQ/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yamzawadia askari wa kikosi cha Usalama Barabarani kwa kazi nzuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCwZPPl68YQ/UyAK1XQFWGI/AAAAAAAFTA4/SGEA_uZgjZQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzihoja ya haja: Wingi wa Askari wa Usalama Barabarani na Matumizi Sahihi ya Muda wa Kazi na Rasilimali Watu
9 years ago
Habarileo11 Nov
Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi
JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.
Alisema askari huyo amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28 mwaka huu kwa kosa la kulidhalilisha jeshi hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6-ZY0Rd1ufM/VRfSitcsPfI/AAAAAAAHOGE/4XWLlc4bYzY/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
ASKARI MAGEREZA ALIYEKAMATWA NA FEDHA ZA BANDIA AFUKUZWA KAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6-ZY0Rd1ufM/VRfSitcsPfI/AAAAAAAHOGE/4XWLlc4bYzY/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa jana Machi 28, 2015 na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Casmir Minja, askari Na. B. 6499 Wdr. Edmund Masaga amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28, 2015 kwa kosa la kulidhalilisha Jeshi mbele ya Umma kinyume na Kanuni 22(xlix) ya Kanuni za Utumishi wa Jeshi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HVsJMGImD_U/VA8xDSU_2pI/AAAAAAAGiQM/L2CK91YSXw4/s72-c/ae686fcdda19248aa327d70e25fb915e.jpg)
Askari wa Usalama barabarani aliyefariki katika ajali kisarawe aagwa leo, mwili wake wasafirishwa kwenda bunda kwa mazishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-HVsJMGImD_U/VA8xDSU_2pI/AAAAAAAGiQM/L2CK91YSXw4/s1600/ae686fcdda19248aa327d70e25fb915e.jpg)
11 years ago
Michuzi03 Aug
ASKARI FEKI MWINGINE WA USALAMA BARABARANI ANASWA DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-yFWajDERlyM/U9017_4ar3I/AAAAAAAAaWg/cGpf_YyckOc/s1600/IMG-20140802-WA0000.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-ZlPGH56YwQU/U9018kvRMqI/AAAAAAAAaWk/j1LxNbEyHvU/s1600/IMG-20140802-WA0001.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNp6xmj2OMOPTZ3GLk-Tp2UUD8ccSYjodkob3RW3SaCfGDQj8XZM9typDgEozmNCOKkEHwChXGDjtjjk*MFvGSa0/2.jpg?width=650)
ASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA NA DALADALA SIKU YA JANA, MBAGALA DAR
11 years ago
GPLAIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU