Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi

JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa

Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.

Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...

 

11 years ago

Habarileo

Trafiki 27 wafutwa kazi kwa rushwa

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Taifa, Mohamed MpingaASKARI 27 wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani wamefukuzwa kazi ndani ya kipindi cha miezi sita kutokana na kujihusisha na makosa ya rushwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?

Kupitia kipindi cha KAZI NA NGOMA ya JEMBE FM Mwanza stori ya Traffic aliyetumbukia mtaroni akiendesha bajaji ya mizigo aliyoikamata kutoka kwa dereva wa bodaboda imesikika, nini kisa na mkasa kwa ufupi ni kwamba> Mara baada ya kumkamata mwendeshaji Hamisi Omary kwa kusa la kupakia mzigo mkubwa wa mbao alimwamuru kulipa faini ya shilingi elfu 30, naye Hamisi akamwomba msamaha kwa Traffic huyo kwamba ni fedha nyingi sana ambayo hawezi kuilipa kwa hata kipato anachokipata toka kwa tajiri...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Trafiki wala rushwa Pwani kukiona’

>Jeshi la Polisi mkoani Pwani, limeweka bayana kuwa kamwe halitasita kuwachukulia hatua kali na za kisheria askari wake wa usalama barabarani itakapopata taarifa za uhakika za wao kuhusika na matukio yanayokiuka maadili ya jeshi hilo ikiwemo vitendo vya rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Trafiki wala rushwa kukiona watadhibitiwa

Askari wa Usalama barabarani wametakiwa kuhakikisha wanajisafisha na lawama za rushwa zinazofedhehesha na kulichafua Jeshi la Polisi.

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki wala rushwa sasa kusota njaa

Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, kina mpango wa kuanzisha utaratibu mpya wa kulipa faini zote za makosa ya barabarani kupitia benki na mitandao ya simu za mkononi.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa magari watikisa Bukoba, kisa rushwa trafiki

WAMILIKI wa magari yanayofanya ruti za Bukoba na wilaya nyingine na madereva, wameendelea kugoma wakishinikiza Serikali ikutane nao.

 

11 years ago

Habarileo

Mpinga aonya rushwa kwa trafiki msimu wa sikukuu

Mohammed MpingaJESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewaonya askari wake nchini kote kujihadhari dhidi ya vitendo vya rushwa hususani wakati huu ambapo wananchi wengi wanasafiri kuelekea katika mikoa mbalimbali kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.

 

11 years ago

Michuzi

ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA

Kamanda wa Polisi  Mkoani
Mbeya  SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita  wa kikosi cha Usalama barabarani  Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi  Mkoani Mbeya  SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo  Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani