ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA
Kamanda wa Polisi Mkoani
Mbeya SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita wa kikosi cha Usalama barabarani Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa.
Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo Jonson,PC Rymond na PC Simon.
Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
TRAFIKI WA PICHA YA MAHABA WATIMULIWA KAZI
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Askari wanafunzi 212 watimuliwa
WANAFUNZI 212 wa mafunzo ya awali ya uaskari katika Chuo cha Taaluma ya Polisi mjini Moshi (MPA), wamefukuzwa baada ya kufanya udanganyifu katika vyeti vyao vya elimu na kubainika kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Wauguzi ‘vihiyo’ sita watimuliwa Mara
SERIKALI mkoani Mara imewatimua kazi wauguzi ‘vihiyo’ sita waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi. Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Balthazar Kichimba, amethibitisha tukio hilo, wakati akihojiwa na Tanzania...
11 years ago
Mwananchi10 Oct
Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa
11 years ago
Mwananchi06 Jan
‘Trafiki wala rushwa Pwani kukiona’
11 years ago
Habarileo18 Jul
Trafiki 27 wafutwa kazi kwa rushwa
ASKARI 27 wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani wamefukuzwa kazi ndani ya kipindi cha miezi sita kutokana na kujihusisha na makosa ya rushwa.
11 years ago
Mwananchi23 Sep
Trafiki wala rushwa kukiona watadhibitiwa
9 years ago
Habarileo11 Nov
Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi
JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Trafiki wala rushwa sasa kusota njaa