Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari wanafunzi 212 watimuliwa

WANAFUNZI 212 wa mafunzo ya awali ya uaskari katika Chuo cha Taaluma ya Polisi mjini Moshi (MPA), wamefukuzwa baada ya kufanya udanganyifu katika vyeti vyao vya elimu na kubainika kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa

Askari polisi watatu wamefukuzwa kazi mkoani Kagera kwa tuhuma za kupiga picha zinazokiuka maadili ya kazi yao na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii jambo linalodaiwa kulidhalilisha jeshi hilo.

 

11 years ago

Michuzi

ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA

Kamanda wa Polisi  Mkoani
Mbeya  SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita  wa kikosi cha Usalama barabarani  Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi  Mkoani Mbeya  SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo  Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...

 

11 years ago

Michuzi

News Alert:WANAFUNZI 212 WA UASKARI CHUO CHA TAALUMA YA POLISI MOSHI WAFUKUZWA BAADA YA KUBAINIKA KUTUMIA VYETI FEKI

Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.

CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari..
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya Polisi mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Kamishna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zimamoto wakana kufukuza askari wanafunzi wenye VVU

JESHI la Zimamoto na Uokoaji limedai kuwa askari wanafunzi 37 waliyofukuzwa mafunzoni katika chuo cha Magereza Kiwira, Tukuyu mkoani Mbeya ni kutokana na kutokidhi vigezo mbalimbali tifauti na inavyodaiwa kwamba...

 

11 years ago

BBCSwahili

USA:Yaahidi dola millioni 212 Gaza

Marekani imeahidi dola millioni 212 za msaada ili kusaidia kulijenga eneo la Gaza katika mkutano wa kuomba msaada mjini Cairo.

 

10 years ago

TheCitizen

LAKE ZONE: Mwanza gets 212 places in special secondary schools

>Mwanza Region has been given 212 places in ‘special secondary schools’ following the region’s impressive performance in 2014 Standard Seven exams.

 

11 years ago

Michuzi

KIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI


Kisha safari ya kwenda Kituoni ikaanza. Ghafla Mkude baada ya kuona kamera ya globu ya jamii inammulika alimuamuru askari mwenzake kuikamata ,alakini hata hivyo askari yule alifahamu kuwa Globu ya jamii pia iko kazini kama walivyo wao. Mzobe mzobe ukaendelea kupita katikati ya kituo kikuu cha mabasi huku mbinje za kutosha toka kwa wakatisha tiketi na wapiga debe zikirindima. Askari Polisi.Mkude akafanikiwa kuwatia mikononi askari wa manispaa ya Moshi wanaoshughulika na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti

>Jeshi la Polisi limewafukuza chuo wanafunzi wa mafunzo ya uaskari 212 wa Chuo Cha Taaluma Moshi baada ya wanafunzi hao kubainika kughushi vyeti vya elimu ya sekondari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani