Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa

Askari polisi watatu wamefukuzwa kazi mkoani Kagera kwa tuhuma za kupiga picha zinazokiuka maadili ya kazi yao na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii jambo linalodaiwa kulidhalilisha jeshi hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa

JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi. Picha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa kazi

10157122_791481054226467_2516584315463168131_n

Hili ndio tukio lililosababisha kufukuzwa kazi wakiwa na sare za kazi.

Na Mwandishi wetu, Kagera

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi.

Picha hiyo ilianza kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii hivi karibuni zikionyesha askari hao wakiwa katika ‘mahaba’ huku wamevaa sare za Jeshi hilo.

Akitoa taarifa mbele ya wandishi wa habari mapema jana Oktoba...

 

10 years ago

GPL

DOKII AMPA ASKARI RUSHWA YA BUSU

Stori: Sifael Paul
MAKUBWA, madogo yana nafuu! Mwigizaji wa kitambo na mwimbaji wa muziki wa Kizazi Kipya, Ummy Wenslaus 'Dokii' anadaiwa kutoa kali ya karne baada ya kumpa askari wa jiji rushwa ya busu, Ijumaa lina mkanda kamili. Mwigizaji wa kitambo na mwimbaji wa muziki wa Kizazi Kipya, Ummy Wenslaus 'Dokii' akiomba ruksa ya kusepa na gari kutoka kwa askari wa jiji (city parking). Tukio hilo ambalo gazeti hili lina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askari wanafunzi 212 watimuliwa

WANAFUNZI 212 wa mafunzo ya awali ya uaskari katika Chuo cha Taaluma ya Polisi mjini Moshi (MPA), wamefukuzwa baada ya kufanya udanganyifu katika vyeti vyao vya elimu na kubainika kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliopiga picha za uchi mlimani washtakiwa

Watalii wanne ambao wamekiri kosa la kuonyesha matendo ya aibu hadharani, wamefikishwa katika mahakama moja nchini Malaysia.

 

11 years ago

Michuzi

ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA

Kamanda wa Polisi  Mkoani
Mbeya  SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita  wa kikosi cha Usalama barabarani  Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi  Mkoani Mbeya  SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo  Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...

 

10 years ago

GPL

TRAFIKI WA PICHA YA MAHABA WATIMULIWA KAZI

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioachishwa kazi. ASKARI wa Kikosi cha Usalama Barabarani waliopiga picha ya mahaba wakibusiana huku wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Polisi na picha yao ikasambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii wamefukuzwa kazi.…

 

10 years ago

Habarileo

Picha ya mahaba yaponza Polisi 3, watimuliwa

ASKARI Polisi wawili ambao picha yao ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii wiki hii katika mkao wa uhusiano wa kimapenzi, wamefukuzwa kazi. Picha hiyo ilionesha askari hao wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakiwa kwenye sare za jeshi hilo huku mwanamume akiwa amempakata wa kike wakipigana busu.

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaonyesha picha za askari wa Urusi

Nato yaonyesha picha za majeshi ya Urusi ndani ya Ukraine ili kuwasaidia waasi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani