Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa
JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi. Picha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa kazi
Hili ndio tukio lililosababisha kufukuzwa kazi wakiwa na sare za kazi.
Na Mwandishi wetu, Kagera
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi.
Picha hiyo ilianza kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii hivi karibuni zikionyesha askari hao wakiwa katika ‘mahaba’ huku wamevaa sare za Jeshi hilo.
Akitoa taarifa mbele ya wandishi wa habari mapema jana Oktoba...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Picha ya mahaba yaponza Polisi 3, watimuliwa
ASKARI Polisi wawili ambao picha yao ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii wiki hii katika mkao wa uhusiano wa kimapenzi, wamefukuzwa kazi. Picha hiyo ilionesha askari hao wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakiwa kwenye sare za jeshi hilo huku mwanamume akiwa amempakata wa kike wakipigana busu.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqLZRPj2gj-TYV26gKS*MhT9T9CcCHUWGEGPgTvkDtyesZfqxuOdGPsG4XxW*y3ArWwrTApd*ThhSdQ9ECwHmfxS/breakingnews.gif)
TRAFIKI WA PICHA YA MAHABA WATIMULIWA KAZI
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Picha ya mahaba yawachongea polisi TZ
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Waliopiga picha za uchi mlimani washtakiwa
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Polisi watatu watimuliwa kwa uzushi
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Maofisa polisi 120 watimuliwa CCP
10 years ago
Habarileo20 Oct
RC- Picha ya 'mahaba' imelichafua jeshi
SERIKALI mkoani Kagera imewataka askari polisi mkoani humo kutumia mitandao ya kijamii kwa malengo yaliyokusudiwa na waanzilishi wake, badala ya kuigeuza mahala pa kuchafuana na pia kulichafua jeshi hilo.