Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa kazi
Hili ndio tukio lililosababisha kufukuzwa kazi wakiwa na sare za kazi.
Na Mwandishi wetu, Kagera
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi.
Picha hiyo ilianza kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii hivi karibuni zikionyesha askari hao wakiwa katika ‘mahaba’ huku wamevaa sare za Jeshi hilo.
Akitoa taarifa mbele ya wandishi wa habari mapema jana Oktoba...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa
JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi. Picha...
10 years ago
GPLTRAFIKI WA PICHA YA MAHABA WATIMULIWA KAZI
10 years ago
Habarileo10 Oct
Picha ya mahaba yaponza Polisi 3, watimuliwa
ASKARI Polisi wawili ambao picha yao ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii wiki hii katika mkao wa uhusiano wa kimapenzi, wamefukuzwa kazi. Picha hiyo ilionesha askari hao wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakiwa kwenye sare za jeshi hilo huku mwanamume akiwa amempakata wa kike wakipigana busu.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Picha ya mahaba yawachongea polisi TZ
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Waliopiga picha za uchi mlimani washtakiwa
10 years ago
GPLHII NI SHIDA: IJUMAA LAIFUNGIA KAZI PICHA YA POLISI WALIONASWA WAKIFANYA UCHAFU
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Wanajeshi 2 wa Cameroon watimuliwa kazi
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Polisi watatu watimuliwa kwa uzushi