Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopiga picha za uchi mlimani washtakiwa

Watalii wanne ambao wamekiri kosa la kuonyesha matendo ya aibu hadharani, wamefikishwa katika mahakama moja nchini Malaysia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa

JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi. Picha...

 

10 years ago

Mwananchi

Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa

Askari polisi watatu wamefukuzwa kazi mkoani Kagera kwa tuhuma za kupiga picha zinazokiuka maadili ya kazi yao na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii jambo linalodaiwa kulidhalilisha jeshi hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa kazi

10157122_791481054226467_2516584315463168131_n

Hili ndio tukio lililosababisha kufukuzwa kazi wakiwa na sare za kazi.

Na Mwandishi wetu, Kagera

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi.

Picha hiyo ilianza kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii hivi karibuni zikionyesha askari hao wakiwa katika ‘mahaba’ huku wamevaa sare za Jeshi hilo.

Akitoa taarifa mbele ya wandishi wa habari mapema jana Oktoba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Instagram yafuta picha za Uchi

Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, ameambia BBC kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Twitter kutochapisha picha za uchi

Kampuni ya Twitter imeweka Sheria mpya ya kupambana na watumiaji mtandao huo wanaoweka picha za uchi kulipiza kisasi

 

9 years ago

BBCSwahili

Playboy kutochapisha picha za uchi wa wanawake

Wamiliki wa jarida la Playboy wanapanga kuacha kuchapisha picha za wanawake wakiwa uchi katika jarida hilo wakisema 'zimepitwa na wakati'.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akosa taji la urembo kwa picha za uchi

Kwa mara ya pili mfululizo waandalizi wa shindano la malkia wa urembo nchini Zimbabwe wametupilia mbali ushindi wa taji hilo uliomwendea malkia wa urembo kufuatia sakata ya picha za uchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Google sasa yakubali kuondoa picha za uchi

Waathiriwa wa picha za ngono katika mtandao wa Google wataruhusiwa kutuma ombi kwa kampuni hiyo la kuziondoa picha hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani