Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Instagram yafuta picha za Uchi

Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, ameambia BBC kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi. Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi. “We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Twitter kutochapisha picha za uchi

Kampuni ya Twitter imeweka Sheria mpya ya kupambana na watumiaji mtandao huo wanaoweka picha za uchi kulipiza kisasi

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Amber Rose ashare picha yake ya utupu Instagram (18+)

Wakati mastaa wengine wanahaha baada ya picha zao za utupu kuvujishwa mtandao bila ridhaa zao, stripper wa zamani na mke wa rapper Wiz Khalifa, Amber Rose ameamua kutowasubiri hackers wafanye mambo, kwa kuamua kuvujisha mwenyewe picha yake ya utupu kupitia akaunti yake ya Instagram. Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja alishare picha hiyo na […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliopiga picha za uchi mlimani washtakiwa

Watalii wanne ambao wamekiri kosa la kuonyesha matendo ya aibu hadharani, wamefikishwa katika mahakama moja nchini Malaysia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Playboy kutochapisha picha za uchi wa wanawake

Wamiliki wa jarida la Playboy wanapanga kuacha kuchapisha picha za wanawake wakiwa uchi katika jarida hilo wakisema 'zimepitwa na wakati'.

 

10 years ago

BBCSwahili

Google sasa yakubali kuondoa picha za uchi

Waathiriwa wa picha za ngono katika mtandao wa Google wataruhusiwa kutuma ombi kwa kampuni hiyo la kuziondoa picha hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akosa taji la urembo kwa picha za uchi

Kwa mara ya pili mfululizo waandalizi wa shindano la malkia wa urembo nchini Zimbabwe wametupilia mbali ushindi wa taji hilo uliomwendea malkia wa urembo kufuatia sakata ya picha za uchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bieber ataka picha zake za uchi kuondolewa mtandaoni

Mawakili wa msanii wa muziki wa Pop Justin Bieber wanataka picha zote za utupu za msanii huyo kuondolewa katika mitandao mara moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani