Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bieber ataka picha zake za uchi kuondolewa mtandaoni

Mawakili wa msanii wa muziki wa Pop Justin Bieber wanataka picha zote za utupu za msanii huyo kuondolewa katika mitandao mara moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BIEBER ATUPIA PICHA YA UTUPU MTANDAONI

Justin Bieber. MWANAMUZIKI raia wa Canada asiyeishiwa vituko, Justin Bieber kwa mara nyingine ametengebeza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kutupia picha yake ya utupu katika akaunti yake ya Instagram. Picha ya utupu aliyoiweka Bieber Instagram. Staa huyo ameachia pia hiyo ikionyesha sehemu za makalio yake wakati akijiachia katika Kisiwa cha Bora Bora kilichopo nchini Ufaransa. Ndani ya saa moja baada ya kutupia picha hiyo,...

 

9 years ago

Bongo5

Picha mpya za Justin bieber akiwa mtupu zasambaa mtandaoni (18+)

Tumezoea kuona mastaa wa kike wakipozi na kukipiga picha za utupu kwaajili ya matoleo ya majarida mbalimbali ambayo huwalipa mkwanja mrefu kufanya hivyo ili wauze majarida yao. Lakini safari hii ni staa wa kiume Justin Bieber ndiye ametawala vichwa vya habari baada ya picha zake akiwa mtupu kusambaa mtandaoni. Kwa mujibu wa Huffington Post picha […]

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE TATA NYINGINE MTANDAONI

Amber Rose akipozi kwa picha. Amber akijiachia na maswaiba wake huko Miami nchini Marekani. Amber Rose akiwa ameachia kinguo chake na kuacha…

 

10 years ago

BBCSwahili

Twitter kutochapisha picha za uchi

Kampuni ya Twitter imeweka Sheria mpya ya kupambana na watumiaji mtandao huo wanaoweka picha za uchi kulipiza kisasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Instagram yafuta picha za Uchi

Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, ameambia BBC kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote.

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!

Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti  huku wote sura zao zikiwa hazionekani.

Moja kati ya akaunti  kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la  WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.

Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Playboy kutochapisha picha za uchi wa wanawake

Wamiliki wa jarida la Playboy wanapanga kuacha kuchapisha picha za wanawake wakiwa uchi katika jarida hilo wakisema 'zimepitwa na wakati'.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliopiga picha za uchi mlimani washtakiwa

Watalii wanne ambao wamekiri kosa la kuonyesha matendo ya aibu hadharani, wamefikishwa katika mahakama moja nchini Malaysia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani