Picha mpya za Justin bieber akiwa mtupu zasambaa mtandaoni (18+)
Tumezoea kuona mastaa wa kike wakipozi na kukipiga picha za utupu kwaajili ya matoleo ya majarida mbalimbali ambayo huwalipa mkwanja mrefu kufanya hivyo ili wauze majarida yao. Lakini safari hii ni staa wa kiume Justin Bieber ndiye ametawala vichwa vya habari baada ya picha zake akiwa mtupu kusambaa mtandaoni. Kwa mujibu wa Huffington Post picha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Justin Bieber aonesha cover ya album yake mpya ‘Purpose’
Wakati mitandao ikiwa imewaka moto kutokana na picha zake za utupu kuvujishwa wiki hii, Justin Bieber ameshare cover ya album yake mpya. Hivi karibuni mwimbaji huyo wa Canada alitangaza kuwa album hiyo itaitwa ‘Purpose’ na itatoka Novemba 13, 2015. Single ya kwanza kutoka kwenye album hiyo ‘What Do You Mean’ inaendelea kufanya vizuri kwenye chati […]
9 years ago
Bongo512 Sep
Justin Bieber: Natumia Instagram kuangalia picha za warembo!
Justin Bieber amekiri kuwa hutumia mtandao wa Instagram kuangalia picha za wasichana warembo. Amesema badala ya kuangalia picha za washkaji zake, mara nyingi huingia kwenye Instagram kuangalia mapaja, boobs na sura za wasichana wanaovutia. Akiongea na kituo cha redio cha New York, Z100 Bieber alisema: Instagram is about dudes looking at pretty girls, that’s basically […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7F012o2UHtV*4OJNB9DK56wpB1JdRvHWrOaJj8SxAG4svt2gbL-nhvJSE62WQxozgJtTemR*S7eetJBe8EvB57/bieber2.jpg?width=650)
BIEBER ATUPIA PICHA YA UTUPU MTANDAONI
Justin Bieber. MWANAMUZIKI raia wa Canada asiyeishiwa vituko, Justin Bieber kwa mara nyingine ametengebeza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kutupia picha yake ya utupu katika akaunti yake ya Instagram. Picha ya utupu aliyoiweka Bieber Instagram. Staa huyo ameachia pia hiyo ikionyesha sehemu za makalio yake wakati akijiachia katika Kisiwa cha Bora Bora kilichopo nchini Ufaransa. Ndani ya saa moja baada ya kutupia picha hiyo,...
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Bieber ataka picha zake za uchi kuondolewa mtandaoni
Mawakili wa msanii wa muziki wa Pop Justin Bieber wanataka picha zote za utupu za msanii huyo kuondolewa katika mitandao mara moja.
10 years ago
Bongo517 Dec
Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu
Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley. Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye […]
9 years ago
Bongo503 Oct
Justin Bieber atangaza jina la album mpya na tarehe ya kutoka
Mwezi mmoja baada ya kuachia ‘What Do You Mean?’ ikiwa ni single ya kwanza kutoka kwenye album yake mpya, Justin Bieber ametangaza jina la album hiyo. Kupitia Twitter Bieber amepost picha yenye jina ‘Purpose’ pamoja na hashtag ya tarehe ya kuachia album hiyo Nov.13. #6weeks #nov13 pic.twitter.com/zspENFhV5S — Justin Bieber (@justinbieber) October 2, 2015 Katika […]
10 years ago
GPL22 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania