TRAFIKI WA PICHA YA MAHABA WATIMULIWA KAZI
![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqLZRPj2gj-TYV26gKS*MhT9T9CcCHUWGEGPgTvkDtyesZfqxuOdGPsG4XxW*y3ArWwrTApd*ThhSdQ9ECwHmfxS/breakingnews.gif)
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioachishwa kazi. ASKARI wa Kikosi cha Usalama Barabarani waliopiga picha ya mahaba wakibusiana huku wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Polisi na picha yao ikasambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii wamefukuzwa kazi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa kazi
Hili ndio tukio lililosababisha kufukuzwa kazi wakiwa na sare za kazi.
Na Mwandishi wetu, Kagera
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi.
Picha hiyo ilianza kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii hivi karibuni zikionyesha askari hao wakiwa katika ‘mahaba’ huku wamevaa sare za Jeshi hilo.
Akitoa taarifa mbele ya wandishi wa habari mapema jana Oktoba...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Picha ya mahaba yaponza Polisi 3, watimuliwa
ASKARI Polisi wawili ambao picha yao ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii wiki hii katika mkao wa uhusiano wa kimapenzi, wamefukuzwa kazi. Picha hiyo ilionesha askari hao wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakiwa kwenye sare za jeshi hilo huku mwanamume akiwa amempakata wa kike wakipigana busu.
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Polisi waliopiga picha za mahaba watimuliwa
JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera, limewafukuza kazi askari watatu wa Kikosi cha Usalama barabarani ‘Trafiki’ kwa kukosa la kupiga picha zisizo na maadili wakiwa na sare za kazi. Picha...
11 years ago
Michuzi29 Apr
ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA
Mbeya SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita wa kikosi cha Usalama barabarani Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
![](http://2.bp.blogspot.com/-dUXEP5ngMBY/VmvKAQeYLuI/AAAAAAABUYI/cJroCRIVUG4/s640/TRAFIKI%2BAJALI%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Oct
SIRI NZITO ZAFICHUKA TRAFIKI WA MAHABA
![](http://api.ning.com/files/HbsRLQ*GNXZA7zso2ywdZabkr1bRao-WwDKd7VWDG2*DWv3Y92GsAFfKn19w4Ojvruj1AIF9wTsmzdO8kLK6r3asvtCOqhcq/trafiki22.jpg?width=650)
Kwa mujibu wa vyanzo makini kutoka wilayani Misenyi mkoani...
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Wanajeshi 2 wa Cameroon watimuliwa kazi
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Askari waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa
10 years ago
Mtanzania10 Oct
Trafiki watatu wafukuzwa kazi
NA RENATHA KIPAKA, BUKOBA
JESHI la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari wake watatu kwa kulifedhehesha jeshi hilo kutokana na kitendo cha kupiga picha inayowaonyesha wawili kati yao wakinyonyana ndimi wakiwa kazini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, alisema kitendo kilichofanywa na askari hao kimeshusha hadhi ya jeshi.
Aliwataja askari hao waliofukuzwa ni F.7788 PC Mpaji Mwasumbi, G 2122 PC Fadhili Linga na WP.8898 Veronica...