Trafiki watatu wafukuzwa kazi
NA RENATHA KIPAKA, BUKOBA
JESHI la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari wake watatu kwa kulifedhehesha jeshi hilo kutokana na kitendo cha kupiga picha inayowaonyesha wawili kati yao wakinyonyana ndimi wakiwa kazini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, alisema kitendo kilichofanywa na askari hao kimeshusha hadhi ya jeshi.
Aliwataja askari hao waliofukuzwa ni F.7788 PC Mpaji Mwasumbi, G 2122 PC Fadhili Linga na WP.8898 Veronica...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Trafiki kumi wafukuzwa kazi
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewafukuza kazi askari wake 10 kwa kosa la kwenda kinyume cha kanuni na sheria za jeshi hilo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
![](http://2.bp.blogspot.com/-dUXEP5ngMBY/VmvKAQeYLuI/AAAAAAABUYI/cJroCRIVUG4/s640/TRAFIKI%2BAJALI%2B%25285%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Mar
Polisi 4 wafukuzwa kazi
ASKARI polisi wanne jijini Dar es Salaam wamefukuzwa kazi, kutokana na kile kilichodaiwa ni kujihusisha na vitendo vya uhalifu.
10 years ago
Habarileo03 Jul
Watumishi 1,200 wafukuzwa kazi
JUMLA ya watumishi 1,205 wamechukuliwa hatua mbalimbali na Serikali, ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi, kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma, kati ya mwaka 2010/11 na 2014/15.
11 years ago
Habarileo29 Jul
Walimu 4 wafukuzwa kazi kwa mapenzi na wanafunzi
WALIMU wanne wa kiume wa Shule ya Sekondari Mwembetogwa ya mjini Iringa, wamefukuzwa kazi baada ya kubainika wakijihusisha na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi.
11 years ago
GPLPOLISI WANNE WAFUKUZWA KAZI KWA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHALIFU
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L2awlcYTX7w/VmQ0IzSPrEI/AAAAAAAIKcM/z6n5i3gpsvc/s72-c/IMG_6770.jpg)
WATUMISHI WAANDAMIZI SABA WA TANESCO WAFUKUZWA KAZI KWA TUHUMA MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-L2awlcYTX7w/VmQ0IzSPrEI/AAAAAAAIKcM/z6n5i3gpsvc/s640/IMG_6770.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TmnFqaUt054/VmQ0KLLPkrI/AAAAAAAIKcU/Eiz_MdQZS_8/s640/IMG_6776.jpg)
9 years ago
Habarileo11 Nov
Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi
JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqLZRPj2gj-TYV26gKS*MhT9T9CcCHUWGEGPgTvkDtyesZfqxuOdGPsG4XxW*y3ArWwrTApd*ThhSdQ9ECwHmfxS/breakingnews.gif)
TRAFIKI WA PICHA YA MAHABA WATIMULIWA KAZI