Zimamoto wakana kufukuza askari wanafunzi wenye VVU
JESHI la Zimamoto na Uokoaji limedai kuwa askari wanafunzi 37 waliyofukuzwa mafunzoni katika chuo cha Magereza Kiwira, Tukuyu mkoani Mbeya ni kutokana na kutokidhi vigezo mbalimbali tifauti na inavyodaiwa kwamba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Cuba kuwanoa askari Zimamoto
SERIKALI ya Cuba kupitia kitengo cha Zimamoto imesema ipo tayari kuendeleza ushirikiano na Tanzania kwa kutoa mafunzo maalumu kwa askari wa Zimamoto nchini ili kukabiliana na changamoto zinazojitokeza katika matukio...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Askari 482 wa Jeshi la Zimamoto wahitimu mafunzo ya awali ya fani hiyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-m6MQB_x9B2g/VmrpzZWBe6I/AAAAAAAAFsU/1eVexJypV9c/s640/IMG_9136.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovSMwDKjPac/VmrpxWhfzKI/AAAAAAAAFsI/jyODFy8oEQ4/s640/IMG_9131.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Silima awataka Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini kuwa waadilifu
Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini wametakiwa kuwa waadilifu, waaminifu, watii na watekelezaji wa sheria zote za nchi kwa kuwa hizo ni miongoni mwa sifa za askari bora.
Akifunga rasmi mafunzo ya awali ya uzimaji wa moto katika viwanja vya ndege kwa askari 100 wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Airwing, Ukonga jijini Dar es salaam, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Pereira Ame Silima amewataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wenye VVU walia na unyanyapaa
SHERIA ya kuzuia na kudhibiti ukimwi ya mwaka 2008, ilipitishwa na Bunge Februari 2008, kisha Rais Jakaya Kikwete kuweka saini kuidhinisha kuanza kutumika rasmi. Katika sheria hiyo sehemu ya saba...
10 years ago
Habarileo15 Feb
Mradi wa ‘Sauti Yetu’ kusaidia wenye VVU
SHIRIKA lisilo la kiserikali linalohamasisha na kutetea haki za binadamu la WCSA linatekeleza mradi wa Sauti Yetu unaowalenga kuwasaidia watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi ili sauti zao ziweze kusikika.
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wake wenye VVU wapewa talaka Lindi
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
TUSHIKAMANE: Wanawake wenye VVU walioungana kutoa elimu
KAMA kawaida ya safu hii ni kukuletea habari za wanamama ambao habari zao hazisikiki wala kuandikwa. Nimekuwa nikiwaletea habari za mama mmoja mmoja na tutaendelea kufanya hivi, lakini leo imekuwa...