Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUSHIKAMANE: Wanawake wenye VVU walioungana kutoa elimu

KAMA kawaida ya safu hii ni kukuletea habari za wanamama ambao habari zao hazisikiki wala kuandikwa. Nimekuwa nikiwaletea habari za mama mmoja mmoja na tutaendelea kufanya hivi, lakini leo imekuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU

NACP -1

Mkurugenzi wa Udhibiti na Uhakiki wa Wizara ya Afya  Dkt.Mohamed Ally Mohamed akionyesha moja ya chapisho lenye taarifa za tafiti za watu walio katika makundi maalum na hali ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi  katika mikoa 7 lililotambulishwa jana jijini Dar es salaam.

Na Aron Msigwa – MAELEZO

SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...

 

5 years ago

Michuzi

BILIONI 27.40 ZATUMIKA KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akiwasilisha taarifa ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa kipindi cha Julai 2019 hadi Machi 2020.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imesema kiasi cha Sh Bilioni 27.40 kilitolewa na Halmashauri zote nchini kwa ajili ya mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ikiwa ni asilimia 44 ya bajeti ya wanawake, vijana na wenye ulemavu ambayo ni Sh Bilioni 62.40.
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo imeongoza kutoa mikopo kwa kundi hilo kwa...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI

Na Ahmed Mahmoud, Arusha
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.

Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wanawake TCRA Kanda ya Kaskazini Watembelea shule ya Weruweru na kutoa Elimu.

Wafanyakazi na wake wa wafanyakazi wa TCRA katika picha ya pamoja walipokwenda kutoa elimu ya matumizi bora ya mtandao Weruweru
Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Weruweru wakiwa katika picha za pamojaEng. Emelda wakati akiwasilisha mada ya matumizi bora ya mitandao kwa wanafunzi wa Sekondari WeruweruEng. Emelda Salum akiongea na wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari ya weruweru iliyopo mkoa wa Kilimanjaro
Na.Vero Ignatus,Arusha
Katika kusheherekea siku ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye VVU walia na unyanyapaa

SHERIA ya kuzuia na kudhibiti ukimwi ya mwaka 2008, ilipitishwa na Bunge Februari 2008, kisha Rais Jakaya Kikwete kuweka saini kuidhinisha kuanza kutumika rasmi. Katika sheria hiyo sehemu ya saba...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Wake wenye VVU wapewa talaka Lindi

Baadhi ya wanaume mkoani hapa wanadaiwa kuwanyanyapaa wake zao kwa kuwapa talaka pindi wanapogundulika wana na maambukizi ya virusi Ukimwi.

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa ‘Sauti Yetu’ kusaidia wenye VVU

SHIRIKA lisilo la kiserikali linalohamasisha na kutetea haki za binadamu la WCSA linatekeleza mradi wa Sauti Yetu unaowalenga kuwasaidia watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi ili sauti zao ziweze kusikika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zimamoto wakana kufukuza askari wanafunzi wenye VVU

JESHI la Zimamoto na Uokoaji limedai kuwa askari wanafunzi 37 waliyofukuzwa mafunzoni katika chuo cha Magereza Kiwira, Tukuyu mkoani Mbeya ni kutokana na kutokidhi vigezo mbalimbali tifauti na inavyodaiwa kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani