Mpinga aonya rushwa kwa trafiki msimu wa sikukuu
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewaonya askari wake nchini kote kujihadhari dhidi ya vitendo vya rushwa hususani wakati huu ambapo wananchi wengi wanasafiri kuelekea katika mikoa mbalimbali kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Jul
Trafiki 27 wafutwa kazi kwa rushwa
ASKARI 27 wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani wamefukuzwa kazi ndani ya kipindi cha miezi sita kutokana na kujihusisha na makosa ya rushwa.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mwongozo kwa wanunuzi wa laptop msimu wa sikukuu
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Zantel yazindua ofa ya msimu wa sikukuu kwa wateja wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin.
Kampuni ya simu ya Zantel leo imetangaza kuzindua ofa maalumu kwa ajili ya msimu wa sikukuku yenye lengo la kuwazawadia wateja wake muda wa maongezi bure na nyongeza ya asilimia 20% katika kila manunuzi ya vifurushi au muda wa maongezi wanayofanya kupitia huduma ya Ezypesa.
Ofa hii pia itamzawadia kila mteja wa Zantel anayefanya manunuzi ya muda wa maongezi usio chini ya shillingi elfu moja kuweza kupata dakika za bure za kupiga Zantel kwenda...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Trafiki wala rushwa kukiona watadhibitiwa
9 years ago
Habarileo11 Nov
Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi
JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.
11 years ago
Mwananchi06 Jan
‘Trafiki wala rushwa Pwani kukiona’
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Trafiki wala rushwa sasa kusota njaa
11 years ago
Michuzi29 Apr
ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA
Mbeya SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita wa kikosi cha Usalama barabarani Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...