Mwongozo kwa wanunuzi wa laptop msimu wa sikukuu
Mwanzoni kompyuta mpakato hazikuwavutia watu wengi kwa sababu ya kuuzwa kwa bei kubwa. Pia umbile lake kubwa halikuwapendezwa watumiaji wengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Dec
Mpinga aonya rushwa kwa trafiki msimu wa sikukuu
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewaonya askari wake nchini kote kujihadhari dhidi ya vitendo vya rushwa hususani wakati huu ambapo wananchi wengi wanasafiri kuelekea katika mikoa mbalimbali kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Zantel yazindua ofa ya msimu wa sikukuu kwa wateja wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin.
Kampuni ya simu ya Zantel leo imetangaza kuzindua ofa maalumu kwa ajili ya msimu wa sikukuku yenye lengo la kuwazawadia wateja wake muda wa maongezi bure na nyongeza ya asilimia 20% katika kila manunuzi ya vifurushi au muda wa maongezi wanayofanya kupitia huduma ya Ezypesa.
Ofa hii pia itamzawadia kila mteja wa Zantel anayefanya manunuzi ya muda wa maongezi usio chini ya shillingi elfu moja kuweza kupata dakika za bure za kupiga Zantel kwenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPxcQWOgB5B5MBz*qD97OpmIb5ymNgcromznvOYMHlxjZn-JYO-Qjjzlvd1FjUtBU4ai0D1rIjHLBc80ZsfJ5r3B/MSIMU.jpg?width=587)
5 years ago
MichuziHATUTAKI MANENO TUNATAKA WANUNUZI WENYE FEDHA, RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAEIe11V-GApBb-Od6kvCKQer9ZLSVDgoe3lW0EbXgW6P*CZOZimt3SkEv3GIZYG48o9D7ctUVkXt45zwGV5jHTe/mpekebbnkkkkkkkkkkkkkk.jpg)
MSIMU WA SIKUKUU LE MBEBIZ IMEKULA KIPANDE YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPzAznkrU7i1lUqWg6WoPYH1uDo0-S7s2csOlos2bJuNHGpDrJkPeE*OIB*J9ggJX4l38cpAGQxCBbL1bfCjWUFq/DARLIVE.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HWZ-hnT8LXQ/VH87dM6RAnI/AAAAAAAG1DY/k3kXalXm4pM/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBshcbMDJ1AYQGQJvjqUE0uQu3raJZk7nMveapZOmQ-cBcBu-3rP*ix14V82nv0HR-m5qX3jp9dn7RBmaZ0vTX-U/2.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA OFA KABAMBE WAKATI WA MSIMU WA SIKUKUU
9 years ago
StarTV24 Dec
Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu
Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.
Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.
Mkurugenzi wa shirika lisilo la...