Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwongozo kwa wanunuzi wa laptop msimu wa sikukuu

Mwanzoni kompyuta mpakato hazikuwavutia watu wengi kwa sababu ya kuuzwa kwa bei kubwa. Pia umbile lake kubwa halikuwapendezwa watumiaji wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mpinga aonya rushwa kwa trafiki msimu wa sikukuu

Mohammed MpingaJESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewaonya askari wake nchini kote kujihadhari dhidi ya vitendo vya rushwa hususani wakati huu ambapo wananchi wengi wanasafiri kuelekea katika mikoa mbalimbali kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.

 

9 years ago

Dewji Blog

Zantel yazindua ofa ya msimu wa sikukuu kwa wateja wake

pic-zantel

Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin.

Kampuni ya simu ya Zantel leo imetangaza kuzindua ofa maalumu kwa ajili ya msimu wa  sikukuku  yenye lengo la kuwazawadia wateja wake muda wa maongezi  bure na nyongeza ya asilimia 20% katika kila manunuzi ya vifurushi au muda wa maongezi wanayofanya kupitia huduma ya Ezypesa.

Ofa hii pia itamzawadia kila mteja wa Zantel anayefanya manunuzi ya muda wa maongezi usio chini ya shillingi elfu moja kuweza kupata dakika za bure za kupiga Zantel kwenda...

 

11 years ago

GPL

5 years ago

Michuzi

HATUTAKI MANENO TUNATAKA WANUNUZI WENYE FEDHA, RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU LE MBEBIZ IMEKULA KIPANDE YAKE

Oya masela inakuwa nini kwa kitaa hiyo? Ni mzuka? Kipande hii ni mpango mzima. Mambo vipi hapo kwa wanangu Wanyalu kwa fasi ya Iringa? Basi barida machalii wangu! Hivi washkaji yale mangawira ya eskro ndo imetoka au? Maana naona mafisadi waliotuhumiwa wanadunda tu kitaa wakati maraia wanasafa kinoma. Ni mwendo wa kuungaunga wakati wao wanapeta mwanzo mwisho. Kama vipi tukomae hadi kieleweke! Wasiporudisha hakyanani neksti...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA OFA KABAMBE WAKATI WA MSIMU WA SIKUKUU‏

Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa ofa kabambe ya simu kwa msimu huu wa sikukuu ya Krismasi, ambapo itawawezesha wateja wa Airtel kununua simu za kisasa kwa bei nafuu na kupata vifurushi vya bure vya muda wa maongezi, ujumbe mfupi na huduma ya intaneti. Kushoto ni Meneja Masoko wa Bidhaa za Kisasa wa Airtel, Prisca Tembo.… ...

 

9 years ago

StarTV

Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu

Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani  kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani  ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.

Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya  wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.

 Mkurugenzi wa shirika lisilo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani