Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATUTAKI MANENO TUNATAKA WANUNUZI WENYE FEDHA, RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa pamba, wakulima kuingia mkataba

Kikundi cha wanunuzi na wachambuzi wa pamba (Kiwapa) wilayani Kwimba mkoani Mwanza kimeanzisha kilimo cha pamba kwa mkataba ili kuongeza tija kwa wakulima.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MIFUMO MITATU UUZAJI WA KAHAWA, WANUNUZI BINAFSI RUKSA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza mikakati ya serikali kwenye zao la Kahawa wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya Kahawa Wilayani Mbozi Mkoani Songwe uliofanyika katika ukumbi wa kanisa la Moravian Sala-Ichenjezya leo tarehe 9 Juni 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Sehemu ya wadau wa sekta ya Kahawa wakifuatilia hotoba ya Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza mikakati ya serikali kwenye zao la Kahawa wakati akizungumza...

 

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa ardhi waonywa

Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, imewataka wananchi wake na wageni wanaotaka kunununua maeneo katika wilaya hiyo, wapitishe maombi yao katika halmashauri kabla ya kununua.

 

11 years ago

Mwananchi

Simu orijino wanunuzi feki

Juu mlimani kulikuwa na amali. Ilikuwako huko kwa miaka mingi kwa sababu walioitamani hawakuweza kukidhi vigezo vya kuichukua. Kati ya vigezo vingi, kimojawapo kilikuwa rahisi kukitaja ila kigumu kukitekeleza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi

OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye: Wakataeni wanunuzi wa kura

Frederick SumayeWAZIRI Mkuu mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewataka Watanzania wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, kuacha kupigia kura kiongozi atakayetoa fedha za kununua kura.

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Kilimo na Ushirika akutana na Wanunuzi wa Tumbaku

 Waziri wa wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh.Eng Christopher Chiza amewataka wanunuzi wa tumbaku kuja na mikakati mipya ili kuwanufaisha na kuimarisha soko la wakulima wa tumbaku. Mhe. Chiza ameyasema hayo leo ofsini kwake alipokutana na Meneja mkuu wa kampuni ya ununuzi wa tumbaku kutoka kampuni ya JTI.  Pamoja na mambo mengine waziri amewataka wafanya biashara hao kuaanda mikataba kwa lugha ya Kiswahili na kingereza ili kuwafanya wakulima waelewe masharti na manufaa ambayo yanaweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani