Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MIFUMO MITATU UUZAJI WA KAHAWA, WANUNUZI BINAFSI RUKSA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza mikakati ya serikali kwenye zao la Kahawa wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya Kahawa Wilayani Mbozi Mkoani Songwe uliofanyika katika ukumbi wa kanisa la Moravian Sala-Ichenjezya leo tarehe 9 Juni 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Sehemu ya wadau wa sekta ya Kahawa wakifuatilia hotoba ya Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza mikakati ya serikali kwenye zao la Kahawa wakati akizungumza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AZINDUA MFUMO WA KUWAUNGANISHA WAKULIMA NA WANUNUZI WA MAZAO (MOBILE KILIMO)

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa mfumo wa kutoa huduma za masoko na huduma za ugani kwa njia ya mtandao (M-Kilimo) Jijini Dodoma, Leo tarehe 18  Mei 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe (Mb) akionyesha kipeperushi wakati wa uzinduzi wa mfumo wa kutoa huduma za masoko na huduma za ugani kwa njia ya mtandao (M-Kilimo) Jijini Dodoma, Leo tarehe 18  Mei 2020. Wengine Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe...

 

5 years ago

Michuzi

HATUTAKI MANENO TUNATAKA WANUNUZI WENYE FEDHA, RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA-UZALISHAJI WA KAHAWA WAONGEZEKA WAFIKIA TANI 214,962


Waziri wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb)


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma

WAZIRI wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema kuwa katika kipindi cha Serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Magufuli zao la Kahawa limeweza kufikia uzalishaji wa tani 214,962 .

Ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumzia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya Kahawa katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano na kusema kuwa kwa wastani kila mwaka imekuwa ikizalisha tani 51,777 ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI I


Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)



Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma

Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.

Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA KUSHUKA KWA BEI YA MBOLEA YA KUKUZIA (UREA)

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa mbolea nchini, hafla iliyofanyika Jijini Dar es slaam leo tarehe 19 Februari 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Sehemu ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano wa Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) kutoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa mbolea nchini, hafla iliyofanyika Jijini Dar es slaam leo tarehe 19 Februari 2020.Waziri wa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI


Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.
Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea binafsi 'ruksa’

RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, bungeni jana, imeruhusu kuwepo kwa mgombea binafsi, lakini ikamwekea vizingiti vya utekelezaji wa nia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani