Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu orijino wanunuzi feki

Juu mlimani kulikuwa na amali. Ilikuwako huko kwa miaka mingi kwa sababu walioitamani hawakuweza kukidhi vigezo vya kuichukua. Kati ya vigezo vingi, kimojawapo kilikuwa rahisi kukitaja ila kigumu kukitekeleza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

HATUTAKI MANENO TUNATAKA WANUNUZI WENYE FEDHA, RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Simu feki za mamilioni zateketezwa Mwanza

TUME ya Ushindani imefanya operesheni na kukamata bidhaa za bandia, zikiwemo simu za mkononi 327 aina ya Samsung na nyembe aina ya Gillete, zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 kisha kuviteketeza jijini hapa.

 

9 years ago

Global Publishers

TCRA Yatoa miezi Sita kuzifunga simu feki Tanzania

UTANGULIZI:

Vifaa vya mawasiliano vya mkononi – hususan simu za kiganjani na vifaa vya mawasiliano vya kiganjani (tablets) – vina namba maalum inayovitambulisha. Namba hiyo inajulikana kama IMEI ambacho ni kifupi cha International Mobile Equipment Identity.

Kifungu cha 84 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya 2010 kinataka kuwepo kwa mfumo wa rajisi ya namba za utambulisho wa vifaa vya mawasiliano vya mkononi. Rajisi hii inajulikana kwa kiingereza kama Central...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa ardhi waonywa

Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, imewataka wananchi wake na wageni wanaotaka kunununua maeneo katika wilaya hiyo, wapitishe maombi yao katika halmashauri kabla ya kununua.

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye: Wakataeni wanunuzi wa kura

Frederick SumayeWAZIRI Mkuu mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewataka Watanzania wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, kuacha kupigia kura kiongozi atakayetoa fedha za kununua kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi

OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa pamba, wakulima kuingia mkataba

Kikundi cha wanunuzi na wachambuzi wa pamba (Kiwapa) wilayani Kwimba mkoani Mwanza kimeanzisha kilimo cha pamba kwa mkataba ili kuongeza tija kwa wakulima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani