mama shujaa orijino
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q0hBcfefmkk/U3vm7ANlweI/AAAAAAAFkE0/X3tFgW8zKXQ/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen21 May
Oxfam awards ‘Mama Shujaa’
 Oxfam Tanzania has said it is high time more advocacy initiatives geared towards creating a friendlier environment for small scale farmers were carried out.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mama Shujaa wa Chakula 2013 aula
Mshindi wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula mwaka 2013, Bahati Muriga, amepewa mwaliko wa kuhudhuria mkutano mkuu wa Siku ya Chakula Duniani unaotarajiwa kufanyika Washington DC nchini Marekani, Oktoba 15 na 16.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ei3LBpSTf0o/UxVqsmSXMGI/AAAAAAAAMXY/-GT0a2qXgS0/s72-c/2014-03-04+08.08.43.png)
Taarifa Kutoka Maisha Plus Mama shujaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-ei3LBpSTf0o/UxVqsmSXMGI/AAAAAAAAMXY/-GT0a2qXgS0/s1600/2014-03-04+08.08.43.png)
Tunawaomba RADHI kutokana na kutoonekana kwa vipindi vyetu hewani kuanzi Jumamosi tarehe 8. Hii imetokana na sisi Kama waandaaji kuwaomba TBC KUSITISHA kurusha vipindi.
Kipindi cha kwanza kilirushwa saa 4.20 usiku, cha pili kikarushwa saa 4.50 usiku, cha tatu kikarushwa saa 3 usiku na cha nne (cha jumamosi) HAKIKURUSHWA KABISA!
Kwa kuwa jambo hili linahusisha makubaliano, tunaomba muwe na subira wakati tukirekebisha mambo ili muweze kuitazama Maisha Plus SEHEMU na muda UNAOELEWEKA...
10 years ago
Michuzi18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
Baada ya zoezi la kupokea na kusahihisha fomu za washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 kukamilika, takribani washiriki 18 kutoka mikoa tofauti nchini wamefanikiwa kupita katika mchujo wa kwanza kabla ya washiriki watatu kuyaaga mashindano hayo na kubakia 15 ambao ndiyo wataingia kijijini kwa ajili ya kumpata mshindi.
akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa majaji waliohusika katika zoezi la kusahihisha fomu za washiriki, Zephania Mugittu alisema kuwa idadi ya washiriki...
akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa majaji waliohusika katika zoezi la kusahihisha fomu za washiriki, Zephania Mugittu alisema kuwa idadi ya washiriki...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g9DLF0XcgC4/VUDmpsAzOGI/AAAAAAAHUBw/mB4v1W6HIyQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
SHINDANO LA MAMA SHUJAA LAZINDULIWA WILAYANI KISARAWE
Na Mwandishi WetuMkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh.Subira Mgalu amezindua Shindano la Mama Shujaa wa Chakula linaloendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam kupitia kampeni ya Grow lenye lengo la Kumuwezesha Mwanamke katika kilimo na kumkwamua kiuchumi.
Subira ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kumwezesha mwanamke katika kilimo na kumkwa mwanamke kiuchumi iliyofanyika katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe mkoani Pwani.
Subira amesema kufanyika kwa mashindano wilayani...
10 years ago
VijimamboWASHIRIKI 18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Mbqam9i8slY/Uv3Vp-h9DEI/AAAAAAACap8/4nx-nIcL5po/s72-c/mama-urassa-na-mwenye-shamba.jpg)
Mama Shujaa wa chakula mtandaoni akabidhiwa zawadi ya shamba
Mshindi wa shindano la Mama shujaa wa chakula mtandaoni, Neema Urassa Kivugo jana alikabidhiwa zawadi ya shamba la hekari 10 alilochagua kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Neema Urassa Kivugo ambaye alishinda vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5 alichagua kununua shamba ili amiliki ardhi yake mwenyewe. Akiongea wakati wa makabidhiano hayo, Neema alisema, ''kupitia kilimo katika shamba langu mwenyewe, sasa nitaweza kumalizia ada ya wanangu na pia ujenzi wa nyumba yangu...
Neema Urassa Kivugo ambaye alishinda vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5 alichagua kununua shamba ili amiliki ardhi yake mwenyewe. Akiongea wakati wa makabidhiano hayo, Neema alisema, ''kupitia kilimo katika shamba langu mwenyewe, sasa nitaweza kumalizia ada ya wanangu na pia ujenzi wa nyumba yangu...
11 years ago
Habarileo11 Jan
Grow yatua Mwanza kumsaka Mama Shujaa wa Chakula
KAMPENI ya Grow inayotetea haki ya chakula na uzalishaji imetua jijini Mwanza kwa ajili ya kuhamasisha wanawake wakulima na wafugaji kujitokeza na kujaza fomu za kushiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania