Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu feki za mamilioni zateketezwa Mwanza

TUME ya Ushindani imefanya operesheni na kukamata bidhaa za bandia, zikiwemo simu za mkononi 327 aina ya Samsung na nyembe aina ya Gillete, zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 kisha kuviteketeza jijini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Zana za uvuvi haramu za mamilioni zateketezwa Sengerema

DSC03469

Katibu Tawala Wilaya Sengerema Bw. Focus Majumbi, (katikati) akishudia nyavu haramu kabla ya kuchomwa.  Wa kwanza kushoto ni Afisa elimu msngi Wilaya Sengema Juma Mwajombe na Kulia ni Afisa uvuvi shupavu Bw. Henry Kaswahili.

Na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema

Zana haramu za kuvulia Samaki zinazokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni mia mbili na laki tani zimekamatwa na kuteketezwa na Afisa uvuvi tarafa ya Buchosa Wilayani Sengerema  Mkoani Mwanza Bw.Henry Kaswahili.

Kwa mujibu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Simu orijino wanunuzi feki

Juu mlimani kulikuwa na amali. Ilikuwako huko kwa miaka mingi kwa sababu walioitamani hawakuweza kukidhi vigezo vya kuichukua. Kati ya vigezo vingi, kimojawapo kilikuwa rahisi kukitaja ila kigumu kukitekeleza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi waiba mamilioni Mwanza

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana wamevamia kituo cha mafuta Smat Usagara, kilichopo wilayani Misungwi na kuiba kiasi kikubwa cha fedha. Akizungumza na Tanzania Daima, mmoja wa watumishi...

 

10 years ago

Bongo5

Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu

Mtu asiyejulikana amehack namba ya Tigo ya AY na kuanza kuwaomba mamilioni watu wake wa karibu. AY ambaye kwa sasa yupo jijini Nairobi, Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa anashangaa kugundua kuwa namba yake ya simu inapatikana wakati chip anayo yeye na haipo kwenye simu. Fundi Frank ni miongoni mwa marafiki wa AY walioombwa fedha na mtu […]

 

9 years ago

Global Publishers

TCRA Yatoa miezi Sita kuzifunga simu feki Tanzania

UTANGULIZI:

Vifaa vya mawasiliano vya mkononi – hususan simu za kiganjani na vifaa vya mawasiliano vya kiganjani (tablets) – vina namba maalum inayovitambulisha. Namba hiyo inajulikana kama IMEI ambacho ni kifupi cha International Mobile Equipment Identity.

Kifungu cha 84 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya 2010 kinataka kuwepo kwa mfumo wa rajisi ya namba za utambulisho wa vifaa vya mawasiliano vya mkononi. Rajisi hii inajulikana kwa kiingereza kama Central...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo yawawezesha waendesha BodaBoda Jijini Mwanza

mkurugenzi wa tigo (1)

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza juzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi na kulipia kupitia Tigo Pesa.

RTO (1)

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madereva wa Bodaboda na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia...

 

11 years ago

Habarileo

Zana haramu za uvuvi zateketezwa

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.

 

11 years ago

Mwananchi

Bidhaa za mabilioni zateketezwa nchini

Tume ya Ushindani Tanzania (TCC) imeteketeza bidhaa zenye thamani ya Sh4.2 bilioni ambazo ziliingizwa nchini zikiwa na upungufu na kukosa ubora.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya ekari 10 za mihadarati zateketezwa Rindini Same

Zaidi ya ekari 10 zilizokuwa zimestawi dawa za kulevya aina ya Mirungi zimeteketezwa katika kijiji cha Rindini wilayani Same mkoani Kilimanjaro kwenye operesheni maalumu iliyofanywa na kamati ya ulinzi na usalama mkoani humo ikiongozwa na  mkuu wa mkoa  huo Amos Makalla.

Operasheni hiyo imelenga kudhibiti biashara haramu ya Mihadarati ambayo imezidi kushamiri katika maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro ambapo zaidi ya ekari 260 za mimea hiyo zinatarajiwa kuteketezwa kwa kipindi cha wiki mbili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani