Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo yawawezesha waendesha BodaBoda Jijini Mwanza
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza juzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi na kulipia kupitia Tigo Pesa.
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madereva wa Bodaboda na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BHeBLgL2rtM/VW53PEyy8SI/AAAAAAAAQQ8/uDlkW1fY-BM/s72-c/E86A8983%2B%2528800x533%2529.jpg)
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AZINDUA DUKA JIPYA LA KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA TIGO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHeBLgL2rtM/VW53PEyy8SI/AAAAAAAAQQ8/uDlkW1fY-BM/s640/E86A8983%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_uiye2Vadc/VW53TFUDIJI/AAAAAAAAQRQ/fHyj6Ore9t8/s640/E86A8990%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZeQrjox4bvU/VW53Ts731VI/AAAAAAAAQRU/tYtvrmzCrKU/s640/E86A8997%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lHxqdbNpbi0/VW53PgiU_vI/AAAAAAAAQRA/jwCUsePp4z8/s640/E86A8989%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Kampuni ya Tigo yawawezesha walimu manispaa ya Morogoro kupata mawasiliano bure
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania Cecile Tiano (katikati) akimkabidhi simu aina ya Smartphone Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Bungo Manispaa ya Morogoro Roman Luoga (kulia), ikiwa ni mpango wa kampuni ya Tigo kuwawezesha walimu kuweza kuwasiliana wenyewe kwa wenyewe bila gharama yoyote. Jumla ya simu 50 za Smartphone zilitolewa kwa majaribio kwa walimu shule hiyo kwa kutekeleza mpango huo, Kushoto anayeshuhudia ni meneja wa Tigo Kanda ya Mashariki Goodluck Charles.
Baadhi ya walimu wa...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Dewji Blog19 May
Kampuni ya Tigo yatoa msaada wa Kompyuta hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akimkabidhi Mkuu wa wilaya Nyamagana, Mhe. Baraka Konisaga, moja ya kompyuta 25 zilizotolewa msaada na kampuni ya Tigo kwa hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza leo asubuhi.
Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Baraka Konisaga akizungumza jambo na Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez, katikati ni Mwenyekeiti wa bodi ya hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza Christopher Mwita Gachuma mara baada ya kukabidhi komputa 25 kwa hospitali hiyo.
Meneja Mkuu wa Tigo...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Tigo na DTBi wazindua huduma ya kurejesha kumbukumbu na kuzuia wizi simu za mkononi
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Binilith Mahenge (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha oparesheni cha Kampuni ya MagilaTech, iliyotengeneza teknolojia ya tigo backup inayowezesha kurejesha kumbukumbu na kuzuia wizi wa simu za mkononi Dar es Salaam jana.
Wanahabari na wadau wengine wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa DTBi, Mhandisi George Mulamula (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.
Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kulia),...