Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi waiba mamilioni Mwanza

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana wamevamia kituo cha mafuta Smat Usagara, kilichopo wilayani Misungwi na kuiba kiasi kikubwa cha fedha. Akizungumza na Tanzania Daima, mmoja wa watumishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Majambazi waiba Sh sifuri UDSM

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Na Agatha Charles, Dar es Salaam

MAJAMBAZI wawili jana wamesababisha hofu katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kufyatua risasi ovyo baada ya kumwibia kijana aliyekuwa akitoka Benki ya NBC bahasha isiyokuwa na fedha.

Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka chanzo chake kinachofanya kazi eneo hilo, zinasema kijana huyo akiwa karibu na tawi la NBC majambazi hayo yalimkwapua bahasha hiyo wakidhani ina fedha na kuanza kukimbia nayo.

Chanzo hicho...

 

10 years ago

GPL

Huku akipambana Tunisia majambazi waiba gari...

Kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’. Wilbert Molandi,Dar es Salaam
WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi, wameiba gari la kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’, aina ya Toyota Carina SI lenye namba za usajili T 224 CXR. Akizungumza na Championi Jumatano, Barthez alisema kuwa gari hilo liliibiwa usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita wakati yeye akiwa safarini akielekea Tunisia kwa ajili ya mchezo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yajeruhi, yapora mamilioni

MFANYABIASHARA wa kubadilisha fedha, Alphonce Mwanjela (36) amejeruhiwa kwa risasi kisha kuporwa kiasi kikubwa cha fedha na watu wanaodhaniwa ni majambazi. Mwanjela anayeendesha shughuli zake katika eneo la mpaka wa...

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi waua wafanyakazi 2 Bonite, wapora mamilioni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Godfrey KamwelaWAFANYAKAZI wawili wa kampuni ya vinywaji baridi ya Bonite Bottlers ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wamekufa kwa kupigwa risasi na majambazi mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga

 Mkuranga. Majambazi watatu, wakiwa na silaha aina ya SMG, jana asubuhi waliua askari mmoja na kujeruhi watu wengine wawili na baadaye kupora bunduki na mamilioni ya fedha kwenye benki ya NMB, Tawi la Mkuranga  mkoani hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Simu feki za mamilioni zateketezwa Mwanza

TUME ya Ushindani imefanya operesheni na kukamata bidhaa za bandia, zikiwemo simu za mkononi 327 aina ya Samsung na nyembe aina ya Gillete, zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 kisha kuviteketeza jijini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yauawa Mwanza

Polisi mkoani hapa wamefanikiwa kuwauwa majambazi wawili baada ya kutupiana nao risasi kwa zaidi ya dakika 10.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wezi wa chuma waiba njia ya reli

Wezi wa chuma nchini Afrika Kusini wameiba karibu kilomita kumi za chuma ye njia ya reli kusababisha uharibifu wa thamani ya dola milioni 2.3.

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki

UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani