Majambazi waiba mamilioni Mwanza
WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana wamevamia kituo cha mafuta Smat Usagara, kilichopo wilayani Misungwi na kuiba kiasi kikubwa cha fedha. Akizungumza na Tanzania Daima, mmoja wa watumishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania13 Sep
Majambazi waiba Sh sifuri UDSM

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Na Agatha Charles, Dar es Salaam
MAJAMBAZI wawili jana wamesababisha hofu katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kufyatua risasi ovyo baada ya kumwibia kijana aliyekuwa akitoka Benki ya NBC bahasha isiyokuwa na fedha.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka chanzo chake kinachofanya kazi eneo hilo, zinasema kijana huyo akiwa karibu na tawi la NBC majambazi hayo yalimkwapua bahasha hiyo wakidhani ina fedha na kuanza kukimbia nayo.
Chanzo hicho...
10 years ago
GPL
Huku akipambana Tunisia majambazi waiba gari...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Majambazi yajeruhi, yapora mamilioni
MFANYABIASHARA wa kubadilisha fedha, Alphonce Mwanjela (36) amejeruhiwa kwa risasi kisha kuporwa kiasi kikubwa cha fedha na watu wanaodhaniwa ni majambazi. Mwanjela anayeendesha shughuli zake katika eneo la mpaka wa...
10 years ago
Habarileo22 Apr
Majambazi waua wafanyakazi 2 Bonite, wapora mamilioni
WAFANYAKAZI wawili wa kampuni ya vinywaji baridi ya Bonite Bottlers ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wamekufa kwa kupigwa risasi na majambazi mjini hapa.
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga
10 years ago
Habarileo22 Dec
Simu feki za mamilioni zateketezwa Mwanza
TUME ya Ushindani imefanya operesheni na kukamata bidhaa za bandia, zikiwemo simu za mkononi 327 aina ya Samsung na nyembe aina ya Gillete, zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 kisha kuviteketeza jijini hapa.
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Majambazi yauawa Mwanza
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Wezi wa chuma waiba njia ya reli
11 years ago
Habarileo01 Sep
Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki
UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.