Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi waiba Sh sifuri UDSM

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Na Agatha Charles, Dar es Salaam

MAJAMBAZI wawili jana wamesababisha hofu katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kufyatua risasi ovyo baada ya kumwibia kijana aliyekuwa akitoka Benki ya NBC bahasha isiyokuwa na fedha.

Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka chanzo chake kinachofanya kazi eneo hilo, zinasema kijana huyo akiwa karibu na tawi la NBC majambazi hayo yalimkwapua bahasha hiyo wakidhani ina fedha na kuanza kukimbia nayo.

Chanzo hicho...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi waiba mamilioni Mwanza

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana wamevamia kituo cha mafuta Smat Usagara, kilichopo wilayani Misungwi na kuiba kiasi kikubwa cha fedha. Akizungumza na Tanzania Daima, mmoja wa watumishi...

 

10 years ago

GPL

Huku akipambana Tunisia majambazi waiba gari...

Kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’. Wilbert Molandi,Dar es Salaam
WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi, wameiba gari la kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’, aina ya Toyota Carina SI lenye namba za usajili T 224 CXR. Akizungumza na Championi Jumatano, Barthez alisema kuwa gari hilo liliibiwa usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita wakati yeye akiwa safarini akielekea Tunisia kwa ajili ya mchezo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wahoji sifuri sekondari za kata

MADIWANI wa Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama, wamehoji  watoto wanaosoma na kumaliza katika shule za sekondari za kata huku wengi wao wakiambulia kupata alama sifuri na kusababisha kubaki vijijini bila...

 

11 years ago

Mwananchi

Sifuri zatawala kidato cha nne

>Licha ya Baraza la Mitihani kueleza kuwa ufaulu katika matokeo ya Kidato cha Nne Mwaka 2013 umeongezeka kwa asilimia 15.17, baadhi ya wadau wa elimu wamesema yawezekana matokeo hayo ama yakawa sawa na yale ya mwaka 2012 au mabaya zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kawambwa akerwa daraja la tano kuitwa sifuri

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameelezea kukerwa na daraja la tano katika muundo mpya wa kupanga matokeo, kuitwa sifuri.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki

UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani