Madiwani wahoji sifuri sekondari za kata
MADIWANI wa Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama, wamehoji watoto wanaosoma na kumaliza katika shule za sekondari za kata huku wengi wao wakiambulia kupata alama sifuri na kusababisha kubaki vijijini bila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Nov
Vyuo vikuu vyabeba sekondari za kata
MAFANIKIO katika sekta ya elimu ya msingi na sekondari, yaliyosababisha ongezeko kubwa la wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita wakiwemo kutoka shule za kata, yameilazimu Serikali kuandaa vyuo vikuu nchini kupokea idadi kubwa ya wanafunzi kutoka shule za sekondari.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
“Ziro” zitakwisha lini sekondari za Kata?
Ni takriban miaka 10 sasa tangu kuanzishwa kwa shule za kata hapa nchini kupitia mpango kabambe uitwao “Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES). Msisitizo mkubwa uliwekwa na Serikali kuhakikisha majengo yanajengwa hata kama hakuna mwanafunzi.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Sx8FJ0D8Bbs/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yQKc-iaIG9k/U-tAenNRMLI/AAAAAAACnSI/5vF7j2bXWO4/s72-c/1.jpg)
KIKAO CHA MKAKATI WA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI ZA KUDUMU KATA CHAFANYIKA DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-yQKc-iaIG9k/U-tAenNRMLI/AAAAAAACnSI/5vF7j2bXWO4/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Rais Kikiwete azindua Sera ya Elimu,Afungua maabara Shule ya Sekondari ya kata,Kipawa jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiEybF_-O7A/VN4Kn1pkFOI/AAAAAAAHDjU/UDOlZZo9uJg/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iy654veaghI/VN4KpLireaI/AAAAAAAHDjc/K-NCtVfAN1s/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
11 years ago
GPLMAISHA YA 'GETO' CHANGAMOTO KWA WANAFUNZI SEKONDARI ZA KATA TANGA
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Komnyang'anyo wilaya ya Handeni wakitembea barabarani kuelekea kwenye makazi yao vijiji mbalim. UJENZI wa Sekondari za Kata katika mikoa mbalimbali umesogeza huduma za elimu kwa baadhi ya maeneo. Ipo mikoa ambayo awali ilikuwa na shule chache za sekondari hali ambayo ilifanya wanafunzi wachache kupata fursa ya kujiunga na sekondari.… ...
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...
11 years ago
GPLCCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA
Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya 13 katika matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo. Shamrashamra hizo…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania