Kawambwa akerwa daraja la tano kuitwa sifuri
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameelezea kukerwa na daraja la tano katika muundo mpya wa kupanga matokeo, kuitwa sifuri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV20 Oct
Serena Williums akerwa kuitwa ”kaka’.
Bingwa wa mchezo wa tenisi kwa upande wa akina dada duniani Serena Williams amekosoa matamshi aliyoyataja kuwa ya kibaguzi na kutojali ujinsia yaliotolewa na rais wa shirikisho la Tenisi nchini Urusi Shamil Tarpischev dhidi yake na dadaake Venus Williams.
Katika mazungumzo yake Tarpischev aliwaita kina dada hao wawili kama ”kaka wawili” .
Hatahivyo afisa huyo alipigwa faini ya pauni 15,500 na kupigwa marufuku ya mwaka moja kwa kutoa matamshi hayo aliyoyataja kama ya mzaha.
”Nadhani...
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Bingwa wa tenisi akerwa kuitwa ''kaka'.
11 years ago
Habarileo15 Dec
Zitto akerwa kuitwa mwongo, ‘kulipuka’ bungeni
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.
11 years ago
Habarileo15 Apr
Daraja la 1-3 kwenda kidato cha tano
SERIKALI imesema sifa za mwanafunzi atakayeendelea na masomo ya kidato cha tano kwa mwaka huu ni waliopata daraja la kwanza hadi la tatu pointi 31.
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Fig9vGDUJnM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VcywIVArWds/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Sep
Majambazi waiba Sh sifuri UDSM
![Chuo Kikuu cha Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/University-of-Dar-es-Salaam.jpg)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Na Agatha Charles, Dar es Salaam
MAJAMBAZI wawili jana wamesababisha hofu katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kufyatua risasi ovyo baada ya kumwibia kijana aliyekuwa akitoka Benki ya NBC bahasha isiyokuwa na fedha.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka chanzo chake kinachofanya kazi eneo hilo, zinasema kijana huyo akiwa karibu na tawi la NBC majambazi hayo yalimkwapua bahasha hiyo wakidhani ina fedha na kuanza kukimbia nayo.
Chanzo hicho...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GiKkuW_ScJo/default.jpg)