Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto akerwa kuitwa mwongo, ‘kulipuka’ bungeni

 Kabwe ZittoMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Serena Williums akerwa kuitwa ”kaka’.

Bingwa wa mchezo wa tenisi kwa upande wa akina dada duniani Serena Williams amekosoa matamshi aliyoyataja kuwa ya kibaguzi na kutojali ujinsia yaliotolewa na rais wa shirikisho la Tenisi nchini Urusi Shamil Tarpischev dhidi yake na dadaake Venus Williams.

 
Katika mazungumzo yake Tarpischev aliwaita kina dada hao wawili kama ”kaka wawili” .

 
Hatahivyo afisa huyo alipigwa faini ya pauni 15,500 na kupigwa marufuku ya mwaka moja kwa kutoa matamshi hayo aliyoyataja kama ya mzaha.

 
”Nadhani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bingwa wa tenisi akerwa kuitwa ''kaka'.

Bingwa wa mchezo wa tenisi kwa upande wa akina dada duniani Serena Williams amekosoa matamshi ya Tarpischev.

 

11 years ago

Mwananchi

Kawambwa akerwa daraja la tano kuitwa sifuri

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameelezea kukerwa na daraja la tano katika muundo mpya wa kupanga matokeo, kuitwa sifuri.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe akerwa na utoto bungeni

>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,amekemea vikali tabia ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba,kuzomeana.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto awavaa TRA, akerwa na Misamaha ya kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema misamaha ya kodi imepanda kutoka Sh1.4 trilioni mwaka 2012/13 hadi Sh1.8 trilioni mwaka 2013/14, kueleza kuwa chanzo ni misamaha ya kodi katika miradi mikubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni jana ilimlipua mbunge kutoka kambi yao, Zitto Kabwe ikimhusisha na ufisadi wa Sh119 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni

Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni

Kwa uzito na mahala unapofanyika mkutano huu, naomba niwaletee kwa muhtasari kabisa baadhi ya kazi ambazo Ndugu Zitto Kabwe amezifanya katika kusukuma mbele guruduma la maendeleo katika nchi yetu.

MABADILIKO SEKTA YA MADINI

Zitto alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka 2005 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini ambalo halina mgodi hata mmoja wa madini ukiachana na wachimbaji wadogo wa udongo wa Pemba ambao una soko kubwa hapa Kariakoo jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Tukutane ‘bungeni’ Novemba

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewaaga rasmi wabunge baada ya kuvuliwa uanachama wa Chadema na kuahidi kuwa “Mungu akipenda” atakuwa tena ndani ya chombo hicho cha kutunga sheria Novemba.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto awaanika Lembeli, Msigwa bungeni

zitto ANa Mwandishi Wetu, Dodoma

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amemshangaa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, pamoja na kamati yake kwa kushindwa kumchukulia hatua Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, licha ya kushindwa kutekeleza agizo la Mahakama.

Kauli hiyo aliitoa bungeni mjini Dodoma jana alipokuwa akichangia taarifa ya utekelezaji wa kazi za Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kwa mwaka 2014.

Katika taarifa hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani