Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni
Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni
Kwa uzito na mahala unapofanyika mkutano huu, naomba niwaletee kwa muhtasari kabisa baadhi ya kazi ambazo Ndugu Zitto Kabwe amezifanya katika kusukuma mbele guruduma la maendeleo katika nchi yetu.
MABADILIKO SEKTA YA MADINIZitto alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka 2005 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini ambalo halina mgodi hata mmoja wa madini ukiachana na wachimbaji wadogo wa udongo wa Pemba ambao una soko kubwa hapa Kariakoo jijini Dar es...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TsPjVk02wZE/VZpZzxzWhqI/AAAAAAAHnQE/Yxt5jpbf3XE/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Marekani kufuta kazi baadhi ya wanajeshi
11 years ago
Mwananchi30 May
Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Zitto: Tukutane ‘bungeni’ Novemba
10 years ago
StarTV28 Jan
Baadhi ya miswada ya sheria yakwama kufanyiwa kazi.
Na Joyce Mwakalinga
Dodoma.
Baadhi ya miswada ya sheria ya Serikali imekwama kufanyiwa kazi leo katika mkutano wa kumi na nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na sababu mbambali ikiwemo ya mahudhurio hafifu ya Wabunge.
Miswada hiyo ni pamoja na ule wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 ambao ulitakiwa kupigiwa kura pamoja na mswada wa sheria ya Takwimu wa mwaka 2013 uliokwama kutokana na kutokamilishwa kwa baadhi ya shughuli.
payday loan in arlington texas ...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Baadhi ya makosa wafanyayo viongozi mahali pa kazi — 1
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Zitto: Naziona dalili za mgawanyiko bungeni
10 years ago
Mwananchi23 May
Zitto apiga tambo kuelekea bungeni
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Zitto aanza kuvuliwa nyadhifa za bungeni