Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baadhi ya makosa wafanyayo viongozi mahali pa kazi — 1

Ni ukweli usiopingika kuwa kufanya makosa ni sehemu ya ubinadamu na kukosea ni kujifunza. Pia, wahenga walinena kujikwaa si kuanguka. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Makosa wafanyayo wapezi wawapo chumbani

happy-couple-twitterUhali gani msomaji wangu! Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.

Kama kawaida, tunakutana tena kwenye bustani yetu nzuri ambapo tunajadiliana na kujuzana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.

Kama mada inavyojieleza hapo juu, leo ningependa kujadiliana na wewe msomaji wangu kuhusu makosa ambayo watu wengi huwa wanayafanya wawapo chumbani na wenzi wao, hususan wanandoa au wapenzi wanaoishi pamoja.

Wapenzi wengi wanaishi kwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-2

Blog-pic-couple-cuddling-4441652 (1)Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kutoka mwaka 2015 mpaka leo hii tunapouanza mwaka mwingine wa 2016. Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa kina kuhusu makosa wanayoyafanya wanandoa wengi wawapo vyumbani na wenzi wao.Leo tunaendelea kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita.

2. KUWA BIZE NA SIMU AU TV MUDA WA KULALA
Utandawazi umekuja na mambo mengi, simu zenye intaneti (smartphones)...

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal ahimiza usalama mahali pa kazi

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewaagiza waajiri nchini kuweka mifumo bora mahali pa kazi, ili kuhakikisha inalinda usalama na afya kwa wafanyakazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayopatikana katika magazeti ya Kiswahili.

Kama alivyo Sheikh,  Mchungaji au Padre,  kwamba  kila mara wanawahubiria  waumini wao  ili wawe  kwenye mstari  katika imani zao bila kutetereka.  nami pia napenda kuendelea  na maelezo  yangu  kuhusu njia za kuepuka makosa yanayojitokeza katika uandishi kwa jumla maelezo yangu ijapokuwa  yangu hayahusiani na imani.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa riadha Tanzania wakubali makosa

Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limeshindwa kupeleka wanamichezo kwenye mashindano ya Afrika ya riadha yaliyomalizika wiki iliyopita jijini Marrakech, Morocco na kushirikisha wanariadha 600 kutoka mataifa 47.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni

Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni

Kwa uzito na mahala unapofanyika mkutano huu, naomba niwaletee kwa muhtasari kabisa baadhi ya kazi ambazo Ndugu Zitto Kabwe amezifanya katika kusukuma mbele guruduma la maendeleo katika nchi yetu.

MABADILIKO SEKTA YA MADINI

Zitto alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka 2005 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini ambalo halina mgodi hata mmoja wa madini ukiachana na wachimbaji wadogo wa udongo wa Pemba ambao una soko kubwa hapa Kariakoo jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

Baadhi ya kazi za Zitto Kabwe Bungeni

Mhe Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Maendeleo

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufuta kazi baadhi ya wanajeshi

Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa jeshi la marekani limethibitisha kupunguza wanajeshi wake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani