Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-2
Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kutoka mwaka 2015 mpaka leo hii tunapouanza mwaka mwingine wa 2016. Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa kina kuhusu makosa wanayoyafanya wanandoa wengi wawapo vyumbani na wenzi wao.Leo tunaendelea kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita.
2. KUWA BIZE NA SIMU AU TV MUDA WA KULALA
Utandawazi umekuja na mambo mengi, simu zenye intaneti (smartphones)...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Makosa wafanyayo wapezi wawapo chumbani
Uhali gani msomaji wangu! Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.
Kama kawaida, tunakutana tena kwenye bustani yetu nzuri ambapo tunajadiliana na kujuzana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.
Kama mada inavyojieleza hapo juu, leo ningependa kujadiliana na wewe msomaji wangu kuhusu makosa ambayo watu wengi huwa wanayafanya wawapo chumbani na wenzi wao, hususan wanandoa au wapenzi wanaoishi pamoja.
Wapenzi wengi wanaishi kwa...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Baadhi ya makosa wafanyayo viongozi mahali pa kazi — 1
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pf8UtCOk5_8/Xlkt4qAf2iI/AAAAAAALf8M/S6K3jtRY8nMiIld-sQgRshwAMbmyOH2iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAYO VITENDO VYA KIKATILI
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya viboko vya kupitiliza na...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Wasanii wanaovutia zaidi wanawake wawapo jukwaani
NA RHOBI CHACHA
MUME wa mwigizaji mashuhuri duniani, Angelina Jolie, Brad Pitt, mwanamuziki anayeendelea kutamba na wimbo wa ‘Happy’, Pharrell William, Justine Beiber na wengine wengi waliwahi kutangazwa kuwa ndio wasanii wenye mvuto zaidi kwa wanawake nchini Marekani.
Hata hapa Tanzania makampuni mengi yamewahi kuendesha mashindano ya kushindanisha mvuto wa wasanii kwa namna tofauti, lakini sisi tumefanya uchunguzi kwa baadhi ya wasanii wa kiume wenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa kike...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s72-c/1.jpg)
MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-URVZtmmpABM/VeVWQUDaWsI/AAAAAAAH1cY/l1jQBPc52rE/s640/2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5DilE9VqQujpxq-6-SKK9Qa1bVXFHKZQ0Bg9W9ZQKmoP6A6sALOea0mOS8KaQ*anWmSKIG1mR290mkVoEhn0i-/shilolelle.jpg)
SHILOLE LIVE CHUMBANI
11 years ago
Habarileo24 Jan
Ajinyonga chumbani kwake
MKAZI mmoja wa Ukonga aliyetambulika kwa jina la Justine Tumbeza (43) amekutwa chumbani kwake amejinyonga.
11 years ago
Habarileo11 Jun
Akutwa amekufa chumbani kwake
MFANYABIASHARA Mkazi wa Kigogo, Kinondoni, Idd Abdalah (31) amekutwa amekufa chumbani kwake huku mwili wake ukiwa hauna jeraha lolote.