MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s72-c/1.jpg)
Msanii wa Reggae Princes Delyla akiongea na wadau wa Sanaa kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii kwenye makao makuu ya Baraza hilo Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Msanii Mwasiti Almas na Afisa Sanaa kutoka BASATA Augustino Makame.
Msanii wa kizazi kipya Mwasiti Almas(katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na wadau wa Sanaa kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linalofanyika makao makuu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Wasanii wanaovutia zaidi wanawake wawapo jukwaani
NA RHOBI CHACHA
MUME wa mwigizaji mashuhuri duniani, Angelina Jolie, Brad Pitt, mwanamuziki anayeendelea kutamba na wimbo wa ‘Happy’, Pharrell William, Justine Beiber na wengine wengi waliwahi kutangazwa kuwa ndio wasanii wenye mvuto zaidi kwa wanawake nchini Marekani.
Hata hapa Tanzania makampuni mengi yamewahi kuendesha mashindano ya kushindanisha mvuto wa wasanii kwa namna tofauti, lakini sisi tumefanya uchunguzi kwa baadhi ya wasanii wa kiume wenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa kike...
9 years ago
Bongo521 Nov
Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje
![12093648_1677922595778221_1833644946_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12093648_1677922595778221_1833644946_n-300x194.jpg)
Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Bongo503 Jan
Wasanii wa Rwanda wachukizwa na kauli ya Diamond kuwa hawajitangazi kimataifa, mmoja amdiss jukwaani!
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Jaji Lila awataka waandishi kuzingatia maadili
![Jaji Shaaban Lila](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Jaji-Shaaban-Lila.jpg)
Jaji Shaaban Lila
Veronica Romwald na Grace Shitundu, Dar es Salaam
VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuzingatia maadili, weledi na miiko ya uandishi wa habari ili kuepusha migogoro inayoweza kuhatarisha amani ya nchi.
Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Jaji Shaaban Lila, wakati akizindua Bodi mpya ya Baraza la Habari Tanzania (MCT).
Alisema vyombo vya habari vinapaswa kutotumika na vyama vya siasa kwa kuandika habari zenye mrengo mmoja na kuepuka habari za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4dh6rwIpda91DvGLHF7BNxQWIJFFMvSabwuSSzGOmqSBhQolOQCXr6DIc6-BYEBvv*AO6loXZmFf3*SoiUbBst9/philip_mangula.jpg?width=600)
MANGULA AWATAKA VIONGOZI WA MATAWI KUSIMAMIA IPASAVYO KANUNI ZA UCHAGUZI, UONGOZI NA MAADILI